ragin
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,391
- 9,378
- Thread starter
- #61
asante kwa elimu maana wananiona mshamba sana.
Unaowazungumzia ni lesbians ndo anaweza kupata mimba. Mtoa mada anazungumzia shemale hawa wana mashine kabisa km ya mwanaume hawawezi kupata mimba.
Nikirudi kwenye mada: Kumkubalia Mwanamke mwenzio kukutoshelezea matamanio ni kujiharibia maisha yako tu sababu wewe kila ukiona mwanamke mwenzio ndo unamtamani na kitendo ni cha aibu sana kwenye jamii ndo maana wanajificha.
Wasagaji na mashoga wote ni sawa sababu wanafanya mapenzi ya jinsia moja, wakianza hiyo michezo basi ni vigumu sana kuacha.