Shem kamfukuza dada home..

Shem kamfukuza dada home..

Baki tu akualike chumbani kwake ili usiwe mpweke, tena anaweza akaihamisha DSTv chumbani kabisa kwaajili yako. Mtatolewa marinda kupenda mteremko.

Mi ningeuliza chanzo cha ugomvi, na kama kweli anamtesa dada bila sababu, basi shem angechezea KIFURUSHI UNLIMITED (Cha Chuo) cha vitasa. Hii itasaida kumfundisha shemeji kua huyo mwanamke ana ndugu wanaaomjali na kumheshimu, na anapaswa kuheshimiwa na sio kuonewa hovyo.

Wanaume sometimes tunawaonea sana wanawake, bila sababu, hasa tukijua wanatupenda kupita kiasi (Japo na wao wana vitimbi heavy).
 
Ushauri wandugu dada kafukuzwa nyumbani na shemeji Kasema asimuonee tena...
Sasa najiuliza na Mimi nisepe au nibaki Japo kuondoka roho inauma mana kuna Supersport huwa nacheki game... Na kesho si mnajua kuna big game ...
Sasa dada yako kaachwa, wewe ubaki hapo unafanya nini??

Na wewe ndo umeshaachwa kijana fungasha mizigo yako urudi kwenu.

Dada kamkera nini shemeji? Kachepuka?
 
Huyo shemeji ni bwege mpaka umpige kizembe hivyo?
Baki tu akualike chumbani kwake ili usiwe mpweke, tena anaweza akaihamisha DSTv chumbani kabisa kwaajili yako. Mtatolewa marinda kupenda mteremko.

Mi ningeuliza chanzo cha ugomvi, na kama kweli anamtesa dada bila sababu, basi shem angechezea KIFURUSHI UNLIMITED (Cha Chuo) cha vitasa.

Wanaume sometimes tunawaonea sana wanawake, bila sababu, hasa tukijua wanatupenda kupita kiasi (Japo na wao wana vitimbi heavy).
 
Ushauri wandugu dada kafukuzwa nyumbani na shemeji Kasema asimuonee tena...
Sasa najiuliza na Mimi nisepe au nibaki Japo kuondoka roho inauma mana kuna Supersport huwa nacheki game... Na kesho si mnajua kuna big game ...
Ingekuwa baba ndo kamfukuza mama
ningekushauri ubaki maana hapo ndo kwenu
ukienda na mama,mama anaenda kwao wewe unaenda ujombani,
hili la dada yako kufukuzwa na shemeji yako
inategemea wewe ni jinsia gani,hapo akili yako iamue mimi sina ushauri.
 
Dada yako kafukuzwa kwa kosa gani kwanza?
Kama amefumaniwa mahali hapo sio salama kwako
 
Sasa najiuliza na Mimi nisepe au nibaki Japo kuondoka roho inauma mana kuna Supersport huwa nacheki game

Baki uliwe kiboGa au nenda ukakae kwenu coz hio sababu ya wewe kutaka kubaki bado ni ya K,ifala sana,

Mtoto wa kiume unalilia kukaa na shemeji, ondoka haraka sana na usirudi teena labda upitie tu dk chache.
Acha Ufala

Thank me later
 
Back
Top Bottom