HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,704
- 48,140
Kama ni hivyo sawaNilikuwa najiuliza sana, kwa nini nimemuota? Tena sina mazoea nae, halafu kwa nini alikuja kukaa karibu na mimi siku hiyo?
Nikaona labda shetani ananatega, nilihama nafasi ili kuepusha fitna ya nafsi...manake akili ilikuwa inanambia nimsimulie...na ninavyowajua wanaume angekamata fursa.
Wanasema Moyo ni mganga, kwahiyo ulifanya la maana sana huwezi jua ulijiepusha na kitu gani, ni vizuri kuiepuka shari