Shekh Ponda: Zanzibar yatumia Shoga (Gay) kukuza Utalii

Zanzibar inanuka Ushoga, imejaa Ushoga na inaongoza kwa Vitendo vya Ufiraji kwa Bara zima la Afrika.

Kisiwa cha Zanzibar nikisiwa kizuri sana ila kimenajisiwa na Mashoga.

Nina visa lukuki kuhusu Mashoga hapo Zanzibar nadhani ipo siku nitaandika hapa,ni Mungu tu alininusuru sikuweza kugegeda Shoga hapo kisiwani lakini hali ni mbaya sana! Yupo mmoja ambaye nimempiga Block na chati zake ninazo ambazo anitangazia dau nene.

Zanzibar imebarikiwa kuwa na mashoga wengi kuliko wanawake wazuri.

Wanaume hao hao wanaojifanya watu wa swala 5 ndiyo wafiraji wa hao mashoga.

Zanzibar hakuna dini ila kuna Sanaa ya dini.

Ninachukia Ushoga na Siupendi Ushoga hata kidogo.

Swali: Je, dini ya kiislamu bado haijafua dafu hapo kisiwani Zanzibar kwa kuukomesha Ushoga? Au hadi Mashee ni mashoga?
Masheikh hawana nguvu mbele ya wanasiasa, sheikh anapinga ushoga then mwanasiasa anaalika shoga
 
Ushoga ni laana,hakuna dini inayoruhusu ushoga.

Wewe ni shoga ama mtetezi wa mashoga?!! Huoni kua ni kinyume na maadili na hata na maandiko ya dini zote?!!
Hujajibu swali,.
Ushoga unahusu nn na taaluma yake?

We unaleta blah blah za dini na maadili, ndo maana ushoga unakua kwa kasi, njia za kupambana nao hamzijui.
 
Mimi nashindwaga kuelewa watu wana shida gani na Mashoga. Yaani mashoga wanaishi maisha yao, Wanafanya kazi wanaingiza kipato , Watu wanahangaika nao tu. Hivi kwanini msipambane na watu wenye Tabia zingine Mbaya kama vile wezi, Mafisadi, Madawa ya kulevya na mengine mengi. Mna kazi ya kuhangaika na mashoga au nyie ndio wateja wao hao mashoga???
Ni wateja wao.
 
Watu wanalinda maadili ya jamii Yao dhidi ya mambo yasiyo na maadili.Ushoga sio maadili ndio maana jamii inaupinga,kuhusu wizi na wauza madawa ya kulefya Kuna sheria za ku-deal na mambo hayo.

Lakini ushoga hauna sheria katika taifa letu, hivyo kulifanya jambo hili kuwa dilemma.
Sasa si itungwe sheria dhidi ya ushoga, tatizo nn??
Huko kupiga kelele mitandaoni inasaidia nn?
 
Hatuwezi kuyalinda kwasababu jamii imeoza kutoka mkata mkaa hadi nyumba nyeuppe..

Imejini JK mtoto wa mjini, muhuni muhuni ndio aliweza kukaa Ikulu miaka 10 na Swahiba wake Mamvi akiwa waziri mkuu, watu waliotafuna mabinti wa watu na kuvunja ndoa nyingi.

Mtu kama Ben aliyekuwa anatoroka Ikulu akiwa na dereva pekee kwenda kuzini. Naye alikaa Ikulu miaka 10.

Mtu kama Mchato aliyehonga nyumba za serikali kwa michepuko naye amelamba miaka 6 Ikulu.

Kuna tetesi hawara wa mtu naye ndiye...kinara muongoza meli.

Hayo maadili yatashuka toka mbinguni kama chakula cha (manna) jangwani wakati wa safari ya Waisrael?

Maadili hutengenezwa, hulindwa kwa wivu mkubwa.

Je ni nani wa kuyalinda?

Akina Kasimu janja wasema uongo kila siku?

Akina Majaaliwa ya Mungu kutwa kutafuna mashoga akina Fumbuka au?.

Hii nchi imeoza, ni mengi chini ya kapeti hatuyasemi.
leo umeamua kupasua majipuuu.
Nasemajeee tumbuaaaa
 
Shekh Ponda Isa Ponda,Ameitupia lawama Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar(SMZ),kwa kitendo cha kumtumia shoga (gay) R.Quest,kutoka Ulaya katika shughuli za Kukuza Utalii visiwani humo.Waziri Simai ameonekana katika picha ya pamoja na bwana Quest alipokwenda kumpokea katika uwanja wa ndege.

Pia Shekh Ponda amekwenda mbali zaidi kwa kuuliza na kuhoji kama bwana Quest akishauri njia ya kuimarisha ushoga visiwani ili Kukuza Utali, serikali itapinga?

Kitendo hiki kimetafsiriwa kama kisicho cha maadili ndani ya Tanzania.

Source: Ukurasa wa Shekh Ponda Isa Ponda katika mtandao wa X zamani ukitambulika Kama Twitter.

sasa, Shehe Ponda anaushangaa ushoga ndani ya zanzibar kweli? hakuona ile clip ya afande? na, anaushangaa ushoga pwani na visiwa vya East Africa ambako watu ni washida dini haswa? anajifanya hajui?

Ninamshauri kitu kimoja tu, amwamini Mungu kwa kumpokea Yesu Kristo ili aokoke, apewe uwezo wa kushinda dhambi, kuabudu dini kama ya kwake atajitahidi sana kufanya mema hata kwa kulazimisha watu wapate matatizo kama alivyofanya kule Mwembechai. Ukristo pekee ndio sio dini ya unafiki.
 
Huku bara tulikuwa hatujui haya mambo ya kufirana nyie Watu wa visiwani ndio mmetuletea uchafu wenu huku!! Umewahi kumsikia mama Abdul akikemea mambo ya Ushoga? Kwanini hakemei?
Kwani baba jesca hakusema mashoga wa Tanzania wako huru kwa maisha yao ya kila siku?

Issues ya ushoga hata aje nani hana uwezo wa kukemea.

Ushoga umewashika pabayaa
 
Mkuu nchi za kiislam wana tamaduni za ushoga sababu wanaifluence ya tamaduni za kiarabu.
Na waarabu ndio wanaoongoza kwa wanaume na wanawake kuliwa nyuma kisiri siri..
Watu waliokaa karachi na Ankara na Jeddah na Lahore na Dubai na Doha na Muscat na Beirut na Moroni wanajua..
Hasa watu wanaofanya kazi za ubaharia wa meli za mizigo...
NB: WAARABU WANAPENDWA KULIWA NYUMA,,WAKE KWA WAUME..

PUMBA TUPU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom