Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
Namna ambavyo sheikh anavyotumia vyombo mbalimbali vya habari na mawasiliano kunadi unajimu wake, ni kama yuko kwenye promosheni ya biashara yake.
Kweli wasikilizaji wa unajimu wake wameongezeka sana, wengine wakimpuuza na wengine wakimsifu.
Je tukiliangalia kwa undani, heshima ya huyu mtabiri imeongezeka au imeporoka katika kipindi cha miaka hii mitano 2005-2010?
Kweli wasikilizaji wa unajimu wake wameongezeka sana, wengine wakimpuuza na wengine wakimsifu.
Je tukiliangalia kwa undani, heshima ya huyu mtabiri imeongezeka au imeporoka katika kipindi cha miaka hii mitano 2005-2010?