Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

RIP yahahya.
Kusema kweli nilikua sikupendi, hasa katika kile kipindi chako cha chanel ten cha uchawi na majini.
 
Hakika bench la ufundi la JK limepata pigo, sasa tutegemee mieleka ya hapa na pale kwani ulinzi usioonekana umeondoka, pole sana JK. Dalili ya mvua ni mawingu, CCM kwishney.
 
Confirmed
Mnajimu na Mtabiri maarufu Afrika Mashariki na Kati, Sheikh Yahya Hussein amefariki dunia asubuhi hii jijini Dar es Salaam.
Chanzo chetu cha habari ndani ya ofisi ya Sheikh Yahya kimesema mtabiri huyo amefariki dunia wakati akikimbizwa Hospitali ya Ukombozi iliyopo Morocco, jijini.
Sheikh Yahya amekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa moyo kwa muda mrefu na aliwahi kwenda India kwa matibabu. Habari zaidi tutawaletea katika mtandao huu na magazeti yetu.


Source: Global publishers


My take;

Pole JMK, this time ccm hawana mtetezi na muaguaji
 
mlinzi numbe moja kafa.......hahahhahaha
 
Mbona mnashangaa? mlitaka aishi milele? Amekufa nyerere sembuse Sheikh Yahya!
 
binafsi alikuwa ananikera kweli kweli, bora sasa mambo ya utabiri yatapungua kama sio kwisha, Pole JK
 
halafu hajaacha mrithi..........hahaha
 
Waefeso 6:10-12 unasema hivi

 
huu ni msiba mkubwa, kwakuwa kazi za mzee huyu watu waliziamini na wengi walimuabudu yeye badala y anaestahili kuabudiwa
 


bora akapumzike tu! kwa hiyo hata mimi nina jini?
 
hivyoo! dah angalieni asije akaanza kudonokea huko windhoke aliko.
 
Kwa mujibu wa Radio 1 breaking news Sheikh Mkuu Issa Bin Simba ni kweli Sheikh Yahaya amefariki leo na atazikwa kesho


Iweje azikwe kesho wakat moslem dead body kwa heshima unazkwa b4 24 hours since passed away? Nyw na me ngoja nijipange kuja kwenye mazishi ya mzee wetu mpendwa.
 
so sad, alikuwa anaumwa? mwenye kujua atujuvye.

poleni familia ya marehemu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…