Sheikh yahya aokoka!!

Jana kuna mdau alinipa taarifa za pale ubungo msewe lile kanisa pastor wao ndio yule mwenye hammer ya mil 250 damu ya mzee inasemekana aliyeokoka ni mfuasi wa sheikh mtajwa lakini sio mwenyewe sasa sijui kama sheikh mwenyewe alikuja mwisho wa ibada
 
Niliyoifahamu mie ni ya kuokoka kwa yule Sheikh Mtoto maarufu kama Sheikh Shariff ambaye aliitingisha inji hii kwa ufahamu mkubwa wa Qur'an akiwa na umri wa miaka tisa na akabatizwa kwa jina jipya la Michael Sylivester Sewando. Ilikuwa reported kwenye Msema Kweli, Sept las yr.

USIWE UNATU "CONFUSE" HAPA NA HII ILIYOWAHI KURIPOTIWA 3 WKs AGo:


 
Hata kama itakuwa ni utani,kwetu wanaamini kwamba ukiona watu wanasemasema kwamba fulani kafa wakati yuko hoi ujue siku yoyote anakaa kimya. Lisemwalo lipo na kama halipo laja.

Sio ajabu Yahaya kuokoka,wapo kibao kama yeye na waliomzidi waliookoka ili kuthibitisha fuatilia historia ya Mtume Paulo wa kwenye Bilia. Aliokoka akiwa njiani kuwapeleka wakristo kuchinjwa sababu ya imani yao.

Unamkumbuka Ibrahim Yohana wa miaka ya1980 hapa DSM aliyeokoka Dodoma akiwa safarini kutoka Mwanza kwenda DSM akiugua kansa lakini dereva wa locomotives? Wapo wengi wengi wengi wanaokoka, inadhhirisha Mungu ni Kiboko yao! Yahaya sio mpinga Kristo, ni mtabiri tu na mtaalam wa Kurhan. Mbona hamkushangaa Sheikh Mwaipopo aliposilimu akiwa mchungaji?

Mungu peke yake ndiye ajuaye nani ni mtumishi wake, anamgeuza mtu kutegemeana na shughuli anayotaka kumpa mtu huyo. Jina la Bwana libarikiwe.

Leka
 
What kinda of joke is this?? JF inazidi kuwa hopeless.
 
Mi naamini c kwasababu eti kwa Mungu hamna lisilowezekana. Ila kwa sababu wasanii wawili wameamua kuunganisha nguvu zao hapo ntakubali.
 
Cha msingi aombe Mungu ampe kujua mapenzi yake na siyo kuja na hoja za kutisha watu kwa kutumia nyota
 
Je hii habari ya shehe Sharif kumrejea Mungu wa kweli zina ukweli ndani yake ? nazisikia kama udaaku mitaani, kwani anaishi wapi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…