Vipi huyu mtaalamu wetu bado hajasema chochote kuhusiana na Bingwa wa Kombe la Dunia mwaka huu? Kuna tetesi anaweza akaitaja nchi husika, hasa michuano itakapokuwa imefika round ya 4 au 5 nadhani. Mwenye taarifa zaidi atuletee!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.