Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Mpaka sasa bado sijaanza kuamini kama kumbe wanaccm wanamuogopa zaidi sheikh yahaya kuliko hata Mungu. Kuna wengi walionyesha wazi kumpinga jk wakati atakapokuwa akiomba tena ridhaa kwa wana ccm lakini baada tu ya huyu sheikh feki kumwaga sumu yake kwa mbwembwe kuwa atakayempinga jk atakufa kifo cha ghafla basi....wote wamefyata mkia. Hivi kwa staili hii ya kutumia waganga wa kienyeji ni kweli ccm itakuja kujenga demokrasia ya kweli hapa nchini zaidi ya demokrasia hii ya kuoneana huruma na kujengeana hofu??....Hivi kuna watu kweli wameendelea kuhurusiwa kufikiri kweli zaidi ya kubali tu yaishe kama ilivyofanyika kwa richmond ???
Bado sijajua rais atakaekuja ataleta vitisho gani wakati atakapo kuwa anataka kuemndelea kukaa ikulu....MBAYA ZAIDI KIKWETE NA IKULU WANABARIKI UHUNI HUU NCHINI HAWAKEMEI WANAONA NI UHURU WA MTU KUTO VITISHO JUU YA MSTAKABALI WA TAIFA HILI.
Siamini kama tutakuja kufika kwa mwendo huu....
Bado sijajua rais atakaekuja ataleta vitisho gani wakati atakapo kuwa anataka kuemndelea kukaa ikulu....MBAYA ZAIDI KIKWETE NA IKULU WANABARIKI UHUNI HUU NCHINI HAWAKEMEI WANAONA NI UHURU WA MTU KUTO VITISHO JUU YA MSTAKABALI WA TAIFA HILI.
Siamini kama tutakuja kufika kwa mwendo huu....