Mlamba viatu,kaza nafasi bado zipoHizi sio lugha za kiongozi wa Dini!.
Sheikh alipaswa kuishia kwenye kukanusha tuu, hakupaswa kumbeza na kumnanga Paul Makonda kwa maneno ya hovyo ya vijiweni na mipasho kwa kitendo cha Paul Makonda kuamua kuuacha ukuu wa mkoa na kwenda kugombea Ubunge wa Kigamboni, sio kulikoroga!.
Inaonyesha huyu Sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam haijui CCM!. Yaani mema yote Paul Makonda aliowatendea Waislamu wa Dar es Salaam kwa kuwajengea makao makuu ya Bakwata yenye hadhi, leo amekuwa mtu wa kubezwa kwa maneno haya ya vichochoroni na vijiweni?.
Subiria matokeo ya vikao vya uteuzi, huyu Sheikh atatafuta pa kujificha na kuficha uso wake pale Makonda atakapoteuliwa kugombea Kigamboni, kisha kupewa Wizara ya Mambo ya Ndani na kugeuka ndio bosi wa taasisi zote za dini!.
Tunawategemea viongozi na haswa wa dini kuongea kwa unyenyekevu, humility na kutumia lugha ya staha wakati wote!.
Hii sio lugha ya kiongozi wa dini!.
P
Eti tukiacha neno "KARIKOROGA" kwanini tuliache sasa?Tumemsikia Sheikh Wetu Al Had Mussa Salum.....
Video Inajieleza....
Tuache KUOKOTEZA maneno kwa ALIYOYASEMA.....
Tukichukua CONTENT ya ufafanuzi WAKE na kuliacha neno "KALIKOROGA" tutakuwa TUMEEPUSHA kuwagombanisha watu kwa VITU VYEPESI....
Sheikh Al Had Mussa Salum ni Kiongozi Wetu Sisi Wafuasi Wa BAKWATA....
Sheikh Al Had Mussa Salum ni RAFIKI wa mh.Makonda TOKA akiwa ni mkuu wa MKOA na sidhani kutakuwa na sababu ya KUUTIA msambweni URAFIKI WAO.
Natumai Uhusiano wao Kama wanadamu na Kama marafiki HAUTOKATIKA kwa sababu ya sintofahamu hii.
Binafsi Nadiclear INTERESTS kumuunga mkono mh.Makonda katika NDOTO ZAKE ZA KISIASA.....
Simung'unyi Maneno...Nilikuwa Ni mmoja wa WALIOMUOMBEA DUA na kumtakia HERI usiku wa kuamkia UCHAGUZI ULE wa KIGAMBONI.
Nilizodolewa na mahasimu wake hapa JF lakini nikabaki na msimamo wangu.
Ninamuita mheshimiwa kwa sababu ya mazuri mengi aliyotufanyia wana Dar Es salaam.Makonda AMEKUWA NEMBO ya CCM yetu kwa VIJANA HUKU MITAANI.
Makonda anajua KUKIBRAND Chama chetu kwa MVUTO mkubwa NADIRIKI kusema ni zaidi ya VIJANA WOTE WA CCM.
Kama kijana mwenzake,Kama kijana ambaye nimekuwa katika harakati za Chama kwa zaidi ya miaka 15 sasa ninajipa UJASIRI wa kusema ninawafahamu VYEMA VIJANA WENZANGU WENGI WALIO UMRI WANGU NA AMBAO WAKO VOCAL ndani ya CCM ambao kwa KIPINDI CHETU tulikuwa pamoja ama muda usiopishana NDANI ya TAHLISO,ndani ya Serikali za wanafunzi vyuo vikuu na haswa SHIRIKISHO LETU LA CCM VYUO VIKUU lakini NIMEMVULIA KOFIA mh.Paul Christian Makonda...
NIMEMVULIA KOFIA kwa kule kuwa na CHARISMA na kipawa cha NYOTA NJEMA ya KISIASA aliyotunukiwa na mola muumba.
All and all huwezi ukabeza NDOTO ZA MWINGINE.....
Kila mtu ana HURIA juu ya NDOTO ZAKE.....
Na NDOTO huendana na MUDA,NYAKATI na pia TIMINGS.
Sikumshangaa Paul Makonda kuwa na UJASIRI wa kutia NIA YA UBUNGE KIGAMBONI kipindi HIKI.....
Na sitomshangaa AKIWA na subira ya kujaribu Tena na tena moments ZIJAZO.
I wish him the best aaamen,naamini AMEKOMAA KISIASA na ana HAZINA ya MIFANO TELE katika HARAKATI ZETU ZA SIASA KAMA VIJANA NDANI YA CHAMA CHETU PENDWA.
Kila Mtu Ana NDOTO
Usikubali kuziacha zako NDOTO.
Dr. Jumbe Brown,
Dar es Salaam.
Siempre Siempre CCM
Hasta la Victoria CCM
Aluta Continua CCM.
Mzee picha huoni au?Yaani source ya habari yak ikishakuwa MANGE KIMAMBI habari yako ishakuwa ni umbea tu
Hizi sio lugha za kiongozi wa Dini!.
Sheikh alipaswa kuishia kwenye kukanusha tuu, hakupaswa kumbeza na kumnanga Paul Makonda kwa maneno ya hovyo ya vijiweni na mipasho kwa kitendo cha Paul Makonda kuamua kuuacha ukuu wa mkoa na kwenda kugombea Ubunge wa Kigamboni, sio kulikoroga!.
Inaonyesha huyu Sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam haijui CCM!. Yaani mema yote Paul Makonda aliowatendea Waislamu wa Dar es Salaam kwa kuwajengea makao makuu ya Bakwata yenye hadhi, leo amekuwa mtu wa kubezwa kwa maneno haya ya vichochoroni na vijiweni?.
Subiria matokeo ya vikao vya uteuzi, huyu Sheikh atatafuta pa kujificha na kuficha uso wake pale Makonda atakapoteuliwa kugombea Kigamboni, kisha kupewa Wizara ya Mambo ya Ndani na kugeuka ndio bosi wa taasisi zote za dini!.
Tunawategemea viongozi na haswa wa dini kuongea kwa unyenyekevu, humility na kutumia lugha ya staha wakati wote!.
Hii sio lugha ya kiongozi wa dini!.
P
Anasema neema za Allah mchina kaziingilia, ila wachina wakumbuke hakuna wa kumzidi ALLAHKwani Sheikh Kipoozea yeye anasema je?
Hilo jengo la Bakwata kamjengea huyo Shehe? Na hata kama kawajengea ndio ilikuwa kifunga mdomo? Halafu hilo jengo limeshakamilika? Hata kama Makonda atapewa nafasi zote hizo, bado huyo shehe kaongea ukweli.
Umechelewa sana kuzitambua lugha zisizo za KIONGOZI WA DINI, maana umesubiri hadi alipostrike CallMeJ. Lakini nikukumbushe ndugu Kada wa CCM, huyu mhishimiwa wa imani sio wa mchezo mchezo kiasi cha wewe kumkoromea, huyu sio wa kuwaambia omba omba waende kuhiji halafu wamgomee..., huyu akiamua kumtoa pepo anamtoa kweli. We ushamsikia Sistaetu akiporomosha vijembe siku za karibuni?Hizi sio lugha za kiongozi wa Dini!.
Sheikh alipaswa kuishia kwenye kukanusha tuu, hakupaswa kumbeza na kumnanga Paul Makonda kwa maneno ya hovyo ya vijiweni na mipasho kwa kitendo cha Paul Makonda kuamua kuuacha ukuu wa mkoa na kwenda kugombea Ubunge wa Kigamboni, sio kulikoroga!.
Inaonyesha huyu Sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam haijui CCM!. Yaani mema yote Paul Makonda aliowatendea Waislamu wa Dar es Salaam kwa kuwajengea makao makuu ya Bakwata yenye hadhi, leo amekuwa mtu wa kubezwa kwa maneno haya ya vichochoroni na vijiweni?.
Subiria matokeo ya vikao vya uteuzi, huyu Sheikh atatafuta pa kujificha na kuficha uso wake pale Makonda atakapoteuliwa kugombea Kigamboni, kisha kupewa Wizara ya Mambo ya Ndani na kugeuka ndio bosi wa taasisi zote za dini!.
Tunawategemea viongozi na haswa wa dini kuongea kwa unyenyekevu, humility na kutumia lugha ya staha wakati wote!.
Hii sio lugha ya kiongozi wa dini!.
P
HahaaaSio hivyo mambo hayapo hivyo boss hawa jamaa bashite na alhad walikua "the couple" "a pair of swans"
Najua umeelewa hii code
Jicho lako linauangalia uchocho kanakwamba ni sehemu mbaya, ya hovyo na haifai kuwepo.Hizi sio lugha za kiongozi wa Dini!.
Sheikh alipaswa kuishia kwenye kukanusha tuu, hakupaswa kumbeza na kumnanga Paul Makonda kwa maneno ya hovyo ya vijiweni na mipasho kwa kitendo cha Paul Makonda kuamua kuuacha ukuu wa mkoa na kwenda kugombea Ubunge wa Kigamboni, sio kulikoroga!.
Inaonyesha huyu Sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam haijui CCM!. Yaani mema yote Paul Makonda aliowatendea Waislamu wa Dar es Salaam kwa kuwajengea makao makuu ya Bakwata yenye hadhi, leo amekuwa mtu wa kubezwa kwa maneno haya ya vichochoroni na vijiweni?.
Subiria matokeo ya vikao vya uteuzi, huyu Sheikh atatafuta pa kujificha na kuficha uso wake pale Makonda atakapoteuliwa kugombea Kigamboni, kisha kupewa Wizara ya Mambo ya Ndani na kugeuka ndio bosi wa taasisi zote za dini!.
Tunawategemea viongozi na haswa wa dini kuongea kwa unyenyekevu, humility na kutumia lugha ya staha wakati wote!.
Hii sio lugha ya kiongozi wa dini!.
P
100%Yanayomtokea Makonda inabidi Magufuli ayatafakari kwa kina sana. Inabidi amtumie Makonda kama case study yake ili aweze kuona atakuja ishi namna gani pale atakapostaafu au kuacha madaraka.
Tabia za Makonda na za Magufuli zinatofautiana kidogo sana na Magufuli anatakiwa kujua kuwakuwafanyia watu vibaya na mabaya kuna malipo mabaya sana huko mbeleni
Huna lolote wewe mataga sheikh kazungumza vizuri sana na kwenda straight to the point. Nasikia ilichukua form ya ubunge, vipi ulipita au umekula spana ya kukazia injini ya meli?Hizi sio lugha za kiongozi wa Dini!.
Sheikh alipaswa kuishia kwenye kukanusha tuu, hakupaswa kumbeza na kumnanga Paul Makonda kwa maneno ya hovyo ya vijiweni na mipasho kwa kitendo cha Paul Makonda kuamua kuuacha ukuu wa mkoa na kwenda kugombea Ubunge wa Kigamboni, sio kulikoroga!.
Inaonyesha huyu Sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam haijui CCM!. Yaani mema yote Paul Makonda aliowatendea Waislamu wa Dar es Salaam kwa kuwajengea makao makuu ya Bakwata yenye hadhi, leo amekuwa mtu wa kubezwa kwa maneno haya ya vichochoroni na vijiweni?.
Subiria matokeo ya vikao vya uteuzi, huyu Sheikh atatafuta pa kujificha na kuficha uso wake pale Makonda atakapoteuliwa kugombea Kigamboni, kisha kupewa Wizara ya Mambo ya Ndani na kugeuka ndio bosi wa taasisi zote za dini!.
Tunawategemea viongozi na haswa wa dini kuongea kwa unyenyekevu, humility na kutumia lugha ya staha wakati wote!.
Hii sio lugha ya kiongozi wa dini!.
P
Ni Petro sio paulTena mapema
Bora Paul alimkana Yesu kabla jogoo hajawika
OK...point noted.Simtetei bali nilichangia tu, kwasababu hawa masheikh inaonekana wanategemea vijisenti vya hawa watawala, sioni mapadri wakiweweseka hivyo. Au viongozi wa dini ni waislamu tu.
Very unfortunately this step was long overdue!.Hizi sio lugha za kiongozi wa Dini!.
Sheikh alipaswa kuishia kwenye kukanusha tuu, hakupaswa kumbeza na kumnanga Paul Makonda kwa maneno ya hovyo ya vijiweni na mipasho kwa kitendo cha Paul Makonda kuamua kuuacha ukuu wa mkoa na kwenda kugombea Ubunge wa Kigamboni, sio kulikoroga!.
Inaonyesha huyu Sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam haijui CCM!. Yaani mema yote Paul Makonda aliowatendea Waislamu wa Dar es Salaam kwa kuwajengea makao makuu ya Bakwata yenye hadhi, leo amekuwa mtu wa kubezwa kwa maneno haya ya vichochoroni na vijiweni?.
Subiria matokeo ya vikao vya uteuzi, huyu Sheikh atatafuta pa kujificha na kuficha uso wake pale Makonda atakapoteuliwa kugombea Kigamboni, kisha kupewa Wizara ya Mambo ya Ndani na kugeuka ndio bosi wa taasisi zote za dini!.
Tunawategemea viongozi na haswa wa dini kuongea kwa unyenyekevu, humility na kutumia lugha ya staha wakati wote!.
Hii sio lugha ya kiongozi wa dini!.
Nazishangaa taasisi za dini zinazoheshimika kuongozwa na watu wa hovyo wa type hii!, kama hizi ndizo lugha anazotumia in public, you can just imagine in private si ni atakuwa worse?.
Bakwata inawaokotaga wapi watu wa namna hii?!, kuna siku huyu jamaa atakuja iaibisha Bakwata ndipo Bakwata itagundua it has a wrong man at the wrong place!
P
Yu wapi?Hizi sio lugha za kiongozi wa Dini!.
Sheikh alipaswa kuishia kwenye kukanusha tuu, hakupaswa kumbeza na kumnanga Paul Makonda kwa maneno ya hovyo ya vijiweni na mipasho kwa kitendo cha Paul Makonda kuamua kuuacha ukuu wa mkoa na kwenda kugombea Ubunge wa Kigamboni, sio kulikoroga!.
Inaonyesha huyu Sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam haijui CCM!. Yaani mema yote Paul Makonda aliowatendea Waislamu wa Dar es Salaam kwa kuwajengea makao makuu ya Bakwata yenye hadhi, leo amekuwa mtu wa kubezwa kwa maneno haya ya vichochoroni na vijiweni?.
Subiria matokeo ya vikao vya uteuzi, huyu Sheikh atatafuta pa kujificha na kuficha uso wake pale Makonda atakapoteuliwa kugombea Kigamboni, kisha kupewa Wizara ya Mambo ya Ndani na kugeuka ndio bosi wa taasisi zote za dini!.
Tunawategemea viongozi na haswa wa dini kuongea kwa unyenyekevu, humility na kutumia lugha ya staha wakati wote!.
Hii sio lugha ya kiongozi wa dini!.
Nazishangaa taasisi za dini zinazoheshimika kuongozwa na watu wa hovyo wa type hii!, kama hizi ndizo lugha anazotumia in public, you can just imagine in private si ni atakuwa worse?.
Bakwata inawaokotaga wapi watu wa namna hii?!, kuna siku huyu jamaa atakuja iaibisha Bakwata ndipo Bakwata itagundua it has a wrong man at the wrong place!
P