'Sheikh ubwabwa' ni mtu wa aina gani?

'Sheikh ubwabwa' ni mtu wa aina gani?

ni slang ya mtaan miaka 90s kukiwa na sherehe za harusi maulidi au hitima ambapo hupikwa PILAU
ndo utakuta masela wa kitaani wanavaa baraghashia na kanzu ili wakae upande wa mashekhe wasomaji wapate kuupiga ubwabwa na nyama nyingi
tena wengine walikuwa wanabeba ndizi na pilipili kabisa lakini hawana elimu ya dini ya kiislam kwa kiwango kikubwa wanakuwa na basic

Miaka ikaenda shekhe ubwabwa now ni tafsri ya MACHAWA WA CCM na SAMIA wao wapo tayari kufanya lolote kutamka lolote hata kam linaenda kinyume na mafundisho ya UISLAM ili mladi tu wanahakikishiwa fungu lao mana sasa hivi kula ubwabwa sio dili kama zamani 90s
So now mashekhe ubwabwa wengine wana elimu kubwa tu ya DINI ila ndio hvyo machawa wakubwa 7bu wengi hawana elimu ya kisekura pia

SHEKHE UBWABWA kwa sasa ni wahuni wapuuzi fulani hivi wachumia tumbo
mfano wa shekhe ubwabwa chawa ni yule alotaka kukata vichwa waandamanaji
 
ni slang ya mtaan miaka 90s kukiwa na sherehe za harusi maulidi au hitima amabako hupikwa PILAU
ndo utakuwa masela wanavaa baraghashia na kanzu ili wakae upande wa mashekhe wasomaji wapate kuupiga ubwabwa na nyama nyingi
tena wengine walikuwa wanabeba ndizi na pilipili kabisa lakini hawana elimu ya dini ya kiislam kwa kiwango kikubwa wanakiwa na basic

Miaka ikaenda shekhe ubwabwa now ni tafsri ya MACHAWA WA CCM na SAMIA wao wapo tayari kufanya lolote kutamka lolote hata kam linaenda kinyume na mafundisho ya UISLAM ili mladi tu wanahakikishiwa fungu lao mana sasa hivi kula ubwabwa sio dili kama zamani 90s
So now mashekhe ubwabwa wengine wana elimu kabisa ila ndio hvyo machawa wakubwa 7bu wengi hawana elimu ya kisekura pia

SHEKHE UBWABWA kwa sasa ni wahuni wapuuzi fulani hivi wachumia tumbo
mfano wa shekhe ubwabwa chawa ni yule alotaka kukata vichwa waandamanaji
Asante mkuu umemaliza kiu yangu bila offence Kwa Imani yeyote.
 
Shekh ubwabwa ana ilim ya dini ndogo, anaonekana kwenye maulid na hitima tu. lazima awe mpiga dufu mzuri, ukifika muda wa kula anakunja goti na anakata tonge za maana, ana vaa kanzu inaishia kwenye ugoko, anapenda vitoto vya madrassa vya miaka 9- 12.
 
Back
Top Bottom