Sheikh Ponda sasa njia panda

Sheikh Ponda sasa njia panda

wanamwonea tu ...
ukiwa muislam unatakiwa unyamaze ....ukisema sema sana basi ujue mfumo utakuonesha kuwa upo...
haya ni maonevu tu...yote ni uzushi na kesi za kubambikiwa..na mapolisi wetu.....kwa kupata presha ya wanasiasa na vingozi wa dini....

Pamoja sana mkuu,,,,,,kazi ya mfumo iyo!!!!!
 
wapi Mungu kasema ana dini?? uskurupuke mkuu somaga na maandiko vzr aisee uctuvuruge, ponda anatetea dini yake na yako shwaini ww!

Ongea kwa hoja, utaeleweaka tu. Hinziri wee!
 
Back
Top Bottom