Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,832
Wakuu habari,
Huyu jamaa nimekuwa nikimsimkiliza akiongea kwenye mikutano au makongamano, naona ni mtu ambaye anajichanganya na watu wa dini zote, na anaongea reasonably.
Lakini huwa anagopwa na kuchukuliwa kama extremist fulani hivi, lakini ukimsikiliza hana u extrimist wowote, kuna baadhi ya viongozi wa Kiislam ambao kweli ukiwasikiliza utaona hawa ni hatari, lakini Ponda yupo cool kabisa.
Halafu jamaa hata sio muongeaji sana, ila akiongea kidogo tu kunakuiwa na reaction kubwa either anakamatwa na polisi au anajibiwa na viongozi wengi wa Kiislam
Au kuna jambo ambalo silijui kuhusu Ponda
Huyu jamaa nimekuwa nikimsimkiliza akiongea kwenye mikutano au makongamano, naona ni mtu ambaye anajichanganya na watu wa dini zote, na anaongea reasonably.
Lakini huwa anagopwa na kuchukuliwa kama extremist fulani hivi, lakini ukimsikiliza hana u extrimist wowote, kuna baadhi ya viongozi wa Kiislam ambao kweli ukiwasikiliza utaona hawa ni hatari, lakini Ponda yupo cool kabisa.
Halafu jamaa hata sio muongeaji sana, ila akiongea kidogo tu kunakuiwa na reaction kubwa either anakamatwa na polisi au anajibiwa na viongozi wengi wa Kiislam
Au kuna jambo ambalo silijui kuhusu Ponda