Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,043
- 103,449
Wacha amalize mwaka akitoka atakuwa amejifunza shughuli za kueneza dini na sio siasa.
Yeye haenezi siasa bali anasema ukweli, na kawaida ya ukweli huwa unauma.
Wacha amalize mwaka akitoka atakuwa amejifunza shughuli za kueneza dini na sio siasa.
Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi.Leo nao wanatoa wa kwao, unaohusu mustakbali wa nchi na maslahi yao then serikali inamtia ndani msomaji tu wa Taarifa ya maimamu, kama hii siyo double standard ni kitu gani?
Ponda anaonewa. Ponda ana haki ya kunena dhidi ya yale anayoyaona hayaendi sawa.Fair treatment kwa makundi yote ya jamii lazima iwepo.
Askofu wa Rulenge, Niwemugizi alitoa kauli ya kupinga kuwaachia watu kwenda kusali kwenye mijumuiko ya wengi kipindi cha korona alikamatwa?
TEC wametoa nyaraka za kutaka haki za watu na demokrasia viwepo nchini, umewahi kusikia wanawekwa ndani?
Walutheri nao walitoa waraka wao, kuna askofu alikamatwa?
Askofu Bagonza naye huwa anatoa misimamo kuhusu haki za raia umewahi kusikia anaitwa hata Central?
Gwajima anatoa kauli kuwa Wasukuma waungane wamsaidie msukuma mwenzao, umewahi kusikia akiwekwa ndani hata siku moja kwa uchochezi?
Waislamu siku zote hizo wako kimya, hawajatoa waraka hata mmoja
Leo nao wanatoa wa kwao, unaohusu mustakbali wa nchi na maslahi yao then serikali inamtia ndani msomaji tu wa Taarifa ya maimamu, kama hii siyo double standard ni kitu gani?
Serikali lazima iheshimu makundi yote ya kijamii siyo kundi moja inaheshimu viongozi wake na kundi jingine inakamata na kuweka ndani viongozi wake!
Leo hii kuna Masheikh kibao wako jela, hawajatibitika kuwa na kosa lolote mbele ya sheria lakini wako wanaozea jela!
Serikali hii imesamehe hadi wabakaji waliofungwa kifungo cha maisha lakini haiachii huru masheikh ambao imeshindwa kuthibitisha makosa yao mbele ya mkono wa sheria.
Acha maneno yako wewe, fikiria sana ksbla ya kucomment mitandaoni.
Waislamu hawapendi treatments za nsmna hii!
Yamekugeukia sehemu mbaya?Endelea na mageuko yako huko!!
Kuliko kuwa na mwembechai nyingine ni bora huyo Ponda arudishwe kwao unajua hawa majirani zetu watu wao wanatuletea matatizo sana angalia huyu ndugu yake wa ACT wazalendo matusi kejeli na kutishia watu kuwarogaWaislamu siyo waoga hata kidogo
Ni Waislamu waliomface Mkoloni kuanzia vita vya majimaji na hata kwenye harakati za kudai uhuru wao walikuwa msitari wa mbele.
Waislamu ni majasiri wa kumueleza mtawala ukweli, isipokuwa wana uungwana sana na subira sana.
Nakuhakikishia kundi pekee nchini ambalo likisema kuwa linaingia barabarani kudai haki yao katika nchi hii ni waislamu ndo wenye ujasiri huo. Na serikali inalijua hilo ndiyo maana siku zote imejitahidi kuwaweka masheikh wenye ushawishi kwenye "payroll" yake. Na BAKWATA ilianzishwa specifically ili kuwa "watchdog" wa waislamu, kwa sababu inawajua kuwa waislamu wakiamua lao huwezi kuwazuia.
Isipokuwa sasa serikali lazima iwatendee haki, isiabuse ukimya wao, hawa wana subira sana, lakini ikivuka mipaka, inakuwa inatengeneza bomu linalosubiri kupasuka!
Tusitengeneze Mwembechai nyingine!
khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee wamkamate mara ngapi unafikiri?
Mbona unacheka kama demu? Vipi kwema lakini?
Dabo standard sababu ni muislamuWacha amalize mwaka akitoka atakuwa amejifunza shughuli za kueneza dini na sio siasa.
Si ajabu watachagua tena ili waendelee kuteswaUdhaifu na uoga wa waislamu ndio unawagharimu, na mtaendelea kunyayaswa mpaka mtakaporejea kwenye mafundisho ya mtume wenu
Hapo ni sawa na kumpoteza Ben hali makaratasi madesa yapo palepale.Unampoteza Ben unashindwa kuupoteza ukweliJe wakiendelea kumshikilia ule waraka utabadilika au kufutika?
Kwa kosa gani,Wamkamate na Pengo Askofu
Hiyo inaonyesha dharau uliyonayo kwa mama yako.
Hakuna jambo baya duniani kama maandishi...Hapo ni sawa na kumpoteza Ben hali makaratasi madesa yapo palepale.Unampoteza Ben unashindwa kuupoteza ukweli
Ujanja ni kuuwa ukweli na sio mbeba Siri,hapo ni kukimbiza upepo tu.Hakuna jambo baya duniani kama maandishi...
Wacha amalize mwaka akitoka atakuwa amejifunza shughuli za kueneza dini na sio siasa.
....Ponda ni mtu hatari kwa Taifa hili!
KUDAI TUME HURU NI HATARI KWA TAIFA HILI?....Ponda ni mtu hatari kwa Taifa hili!
Mkuu unazungumzia Waislamu WA Nchi gani?.. Tanzania hii ? Ni waoga KULIKO wanafanyiwa mangapi wameufyata?.. Wazee WA uamsho walipigwa kimya wafuasi wapo kimya hawajali wala nn!.. na How viongozi wao Hawaishi kugonha chears na vigogo.. zungumza Waislamu wa Palestina huko na Somalia Hao ndo Vidume,,TakbiriiiiiiWaislamu siyo waoga hata kidogo
Ni Waislamu waliomface Mkoloni kuanzia vita vya majimaji na hata kwenye harakati za kudai uhuru wao walikuwa msitari wa mbele.
Waislamu ni majasiri wa kumueleza mtawala ukweli, isipokuwa wana uungwana sana na subira sana.
Nakuhakikishia kundi pekee nchini ambalo likisema kuwa linaingia barabarani kudai haki yao katika nchi hii ni waislamu ndo wenye ujasiri huo. Na serikali inalijua hilo ndiyo maana siku zote imejitahidi kuwaweka masheikh wenye ushawishi kwenye "payroll" yake. Na BAKWATA ilianzishwa specifically ili kuwa "watchdog" wa waislamu, kwa sababu inawajua kuwa waislamu wakiamua lao huwezi kuwazuia.
Isipokuwa sasa serikali lazima iwatendee haki, isiabuse ukimya wao, hawa wana subira sana, lakini ikivuka mipaka, inakuwa inatengeneza bomu linalosubiri kupasuka!
Tusitengeneze Mwembechai nyingine!