Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,505
- 51,107
Mkuu unazungumzia Waislamu WA Nchi gani?.. Tanzania hii ? Ni waoga KULIKO wanafanyiwa mangapi wameufyata?.. Wazee WA uamsho walipigwa kimya wafuasi wapo kimya hawajali wala nn!.. na How viongozi wao Hawaishi kugonha chears na vigogo.. zungumza Waislamu wa Palestina huko na Somalia Hao ndo Vidume,,Takbiriiiiii
Tofautisha kuwa "Reactionary" na kuwa "Cool headed"
Ukimya wa Waislamu na subira ni kwa ajili ya Amani ya nchi hii, na kutumia njia zote za amani kudai haki zao nchini, Ikishindikana hiyo utaona pressure yao ikiongezeka kidogokidogo mpaka mifumo kandamizi dhidi yao itakapobomolewa.
Hakuna kundi la kijamii nchini linaloweza kusimama barabarani mbele ya askari wenye mabomu na mabunduki na kusema "Hapana " bila woga, ni kundi la Waislamu.
By nature uislam na Dhulma ni incompatible (havichangamani), ndiyo maana wazee wa Kiislamu akina Abushiri bin Sultan, Mwinyikheri, Mkwawa, Kinjekitile, Wazee wa TANU walisimama kutaka dhulma Tanganyika iondoke!.
Sasa moyo na spirit kama hiyo vimo ndani ya waislamu, Hawa siyo watu waoga, kwanza kwenye Uislamu kuwa muoga ni upungufu wa Imani!
Subira yao isihesabike ni udhaifu!
Amani siyo udhaifu bali ni faida ya wote!