Sheikh Ponda amua moja ueleweke!

We dogo mleta hoja!! Nikikuuliza kosa la Sheikh Ponda ni kwenda kuwajulia hali kina Lema jela. Wagonjwa kama Lisu hospital ni kosa ?! Je angeenda kumuona Maghufuli hospital ungehoji jambo hili?! Huu ukaburu wa nini?! Na kwa faida ya nani?!
 
Prof. Safari kwa kuwa ni mwanachama wa CHADEMA, kwa hiyo haruhusiwi kufanya kazi yake ya uwakili? Tuna watu ambao wanadhani kujifanya wajinga ni sifa.
 
Dr Slaa mwaka gani alikuwa askofu? Jimbo gani hilo alikuwa askofu?

Msipoteze muda wenu kufanya argument na mtu ambaye inaonekana hajui chochote zaidi ya kusoma na kuandika.

Kwa hoja ya huyu bwana, hata Desmon Tutu alistahili kuacha kuwa Askofu Mkuu kwa sababu alikuwa akipinga wazi sera za ubaguzi wa rangi.

Kiongozi yeyote wa dini, ambaye kweli ni kiongozi wa dini, kamwe hawezi kuacha kukemea uonevu katika jamii. Kiongozi wa kweli wa dini ni lazima asimame na awe sauti ya wanyonge wanaodhulumiwa, na awe tayari kuteseka na hata kufa kwaajili ya kuwatetea.

Ponda kama angetaka kuwa mbunge, kazi ambayo ina mshahara, asingekosa, lakini ameamua daima kuwa sauti ya wasio na uwezo wa kusema. Ameteseka, amefungwa, amenusurika kuuawa lakini hakutoka kwenye yale anayoyaamini. Huyo ndiye kiongozi wa dini.

Papa Francisco, alipohutubia zaidi ya waumini milioni moja kwenye kongamano la vijana wakatoliki kule Brazil, alisema, 'Kanisa ni lazima lisimame na watu wanyonge maskini, liache kujishikamanisha na matajiri na watawala hata watu wakaona Kanisa ni sehemu ya watawala'. Viongozi wa Kanisa Katoliki wanatakiwa kuiishi kauli hii ya kiongozi mkuu ambaye ni Mama Kanisa. Na kwa mwongozo wa Kanisa Katoliki, Mama Kanisa ndiye mwenye kauli ya mwisho kuhusu uongozi na imani ya Kanisa Katoliki.
 
We dogo mleta hoja!! Nikikuuliza kosa la Sheikh Ponda ni kwenda kuwajulia hali kina Lema jela. Wagonjwa kama Lisu hospital ni kosa ?! Je angeenda kumuona Maghufuli hospital ungehoji jambo hili?! Huu ukaburu wa nini?! Na kwa faida ya nani?!
Jibu unalo unazuunguka tu!
 
Hopeless argument from hopeless mind. Prof. Safari kwa kuwa ni mwanachama wa CHADEMA, kwa hiyo haruhusiwi kufanya kazi yake ya uwakili? Tuna watu ambao wanadhani kujifanya wajinga ni sifa.
Mbona hakutoka masumbuko lamwai,safari amefika pale sababu ya jina la lissu jumlisha chadema!
 


Pengo na Lumumba wamekupa buku ngapi??
 
Mkuu hivi kanisa la Mchungwaji Msigwa linaitwaje? Maana naskia mchungaji mchungaji lkn kanisa analochungia kondoo halijulikan
Waulize wana Iringa mjini wanalijua lilipo hilo kanisa na Nina lake wanalo.
 
MSIGWA ni mchungaji wa nguruwe
Hahahaaaa umeua mkuu maana huyu mchungwaji anasema kazi ya vyama vya upinzani ni kufanya wananchi waichuykie serikali kasahao maandiko yanasema zitiini mamlaka zilizopo maana zimewekwa na Mungu huyu mchungaji kweli yupo critical but stable
 
Ameingiaje hapa!

Ngoja nikufafanulie kua kaingiaje[emoji3](niishereheshe)
Huyo kadinali PENGO MNAOMWABUDU ANAHUBIRI DINI AU SIASA??
NA KAMA KWELI YEYE KIONGOZI MTAKATIFU KWENYE NYUMBA TAKATIFU HUKO ANAPOSALI,,,
MASWALA YA KUIPINGA KATIBA ANAJIHUSISHA NAYO VEEPEEEEE,,???
Au ANAJITETEA NA KUJITOA KIMASOMASO KWA ANKO MAGU KUA
AONEKANE YEYE MSAFI ASIPIMWE MKOJO???[emoji3][emoji3]
Watz tulishaamka[emoji3][emoji3]tunamfaham kuliko anavojifahamu yeye[emoji3]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…