Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,108
- 41,777
Kirusi kibaya zaidi ni padre Slaa na jopo lake la wahuni.
Kesho tunaanza maandamano nchi nzima ili kuhakikisha kamanda PONDA anaachiwa bila masharti.
Inaelekea hata kiongozi wako wa dini akisema "waislam tanzania chinjeni makafiri wote mtakaokutana nao" , wewe utauliza swali hilihili, amefanya kosa gani!? Dini kweli wakati mwingine inapumbaza...
hujawah kukumbana na kalinyekalinye ya FFU kaa kimya,,,,
unaandika huku una nepi utanielewa???
NOT GOOD ENOUgH.
Usalama wa nchi yetu ni kufunja kabisa uhusiano wa kibalozi ya Serikali ya Iran.
Kushughulikia kina Ponda ni kutreat symptoms wakati tatizo lipo pale pale.
tatizo ni kwamba chui alishasababisha mpaka baadhi ya mifugo kuanza kuparaganyika,kama nimemuelewa vizuri mwanakijiji ni kwamba tumechelewa sana kuchukua hatua na kama tunachukua hatua basi tuchukue kwa haki na kwa wote waliohusika.Hapo sijakupata mwanakijiji. Kwa hiyo kama kwa muda mrefu ulikuwa unaacha mlango wa zizi wazi kwa kuamini kwamba chui hataingia, lakini ikatokea siku moja akaingia hutachukua hatua? Kinachoonekana ni kwamba serikali ilikuwa inampuuza kwa muda mrefu. Sasa imeanza kuona matunda ya kauli za huyu mhuni, na imechukua hatua.
Kama ni kwa mfano wako basi, serikali inachukua hatu za kufunga zizi ili huyu chui asirudi tena. Ninaungana na wale wanaosema polisi wasiishia kwa Ponda tu, bali waende mbali zaidi kwa kuifuta kabisa Radio Iman na gazeti la Al-nuur. Hivi ni virusi vibaya sana kwa mstakabali wa amani yetu. Sioni kibaya kwa serikali kuchukua hatua hiyo.
yaan redio imaan inatupasha habar leo inapandikiza UDINI????,we ombea ifungwe na haitafungwa,,,,,,tutaipata hata kupitia mtandao,,,,,kwakua huipendi baaaasi,,,shwain weeeee
wala si ujinga Ibrahim,,,,sijaona hata punje ya CHUKI ILOPANDIKIZWA,,,,je imewah kusema waislam wavunje makanisa???,imewah kusema waislam wasiishi na MAKAFIRI??,JE imewah kusemwa waislam wasichague viongoz wasio waislam???,,,sasa uchochez upi???au na wewe unakurupuka tu,ushawah kuiskiliza??na kama umewah mara ngapi???isije ikawa unabwabwaja hapa wakat hata hujui frequency zake
Ss ww tuipende kwa kueneza uchochezi?au hujui km kinachofanyika kwny hyo redio si kitu kizuri?acha ujinga ww
sasa kama unashinda madrasa kutwa utawezaje kuinuka kiuchumi?
Sasa isiwe akamatwe kwa sababu wameamua kumtoa kafara; Ponda hajaanza leo kusema anayoyasema. Kama muda wote (miaka yote) wameweza kumvumilia imekuwaje leo waamke na kusema wanamkamata?
Kama kosa ni yale ya Mbagala au anayoyasema ukweli ni kuwa itakuwa ni kumuonea! Kosa ni la serikali inayotawala. Ukiacha mlango wazi kwenye zizi kila sikuw watu wanakuambia chui ataingia na kula mbuzi nawe ukapuuzia siku chui akiingia na kula utalaumu zizi kwanini halikufungwa?
Nikwambie kitu mkuu,cwezi kusema uongo kwa kitu km hicho,hyo radio huwa naickiliza sana 2!hebu kuwa mkweli(weka pembeni mambo ya dini,imani)huwa hawafundishi kumchukia mkristu?hata baada ya tukio la mbagala,km ulickiliza ponda aliongea nn?
Sasa isiwe akamatwe kwa sababu wameamua kumtoa kafara; Ponda hajaanza leo kusema anayoyasema. Kama muda wote (miaka yote)
kama wamemkamata sasa itakuwa aliyokuwa anayasema miaka yote yalikuwa yanaingia sikio moja yanatokea lingine ila kwa sasa yamegoma kutoka athari zake wanaziona zinaanza kutokea wakaona wamdhibiti
Number ya watu walioitembelea.. inasikitisha only hao tu from 2009..., hivyo vitu hawaviwezi..Matatizo ya Diaspora ndio haya. omba kwanza upewe clip za Redio Imaan ndio utamjuwa huyo Shehena Ponda.
RADIO IMAAN FM on USTREAM: RADIO IMAAN FM is Islamic Radio under The Islamic Foundation Tanzania Broadcasting live from MOROGORO Town Tanzania. Which is br...