Ni maoni yake tu binafsi ambayo ameyatoa,,,,
Hofu yangu watu tusiichukulie kiudini zaidi,
At the end of the day ni imani ya watu ndiyo inayowaponya as hii dawa ni ya imani zaidi kama anayetoa alivyosema.
Tuheshimu maoni yake, tuachane na udini simply kwa sababu ni muisilamu amotoa amoni juu ya dawa ya mchungaji wa kikristu.