Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 12,983
- 11,794
Hii biashara ya ukabila na udini mnatoa wapi?
Mbona mnakuwa mnarudi nyuma badala ya kusonga mbele.
Mbona mnakuwa mnarudi nyuma badala ya kusonga mbele.
Sheikh Khalifa Khamis is a system within the system!
Kwa GT unaweza kuelewa maanake. Kwa ufupi ni kwamba ndami ya CCM na Serikali yake kuna watu hawaridhishwi na teuzi za JPM!!! Hii nchi kulingana na Katiba hainaga kitu inaitwa UDINI au UKABILA!
Magufuli tangu ameingia teuzi zake zina kaharufu ka Ukanda/Ukabila! Kuna Wasukuma kibao wamejazwa kwenye Serikali na Taasisi zake! Lakini pia idadi ya Wakristo surpasses the number of Islamic group by.a large number!!
Magufuli ameshindwa kabisa to BALANCE THE EQUATION pamoja na yeye kuwa ni mtaalamu wa Kemia na Hesabu! Kama tu ilivyo kwene Chemical equation unatakiwa kuweka uwiano sawa kwa kemikali za upande wa KULIA na KUSHOTO!
Kwa mfano akiteua Wakristo 2 lakini Wasukuma na Waislamu 2 lakini Wachaga basi ahakikishe na hu Visiwani anateua Wakristo 2 lakini Waunguja na Waislamu 2 lakini Wapemba! Magufuli anajua usipoiweka sawa kanuni ya kuchanganya Kemikali jiandae kupata mlipuko!!!!
Kama tutaenda kwa mtindo huu huenda bomu hili litalipuka na mtengezaji atakuwa ni JPM mwenyewe!!!!