fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,598
- 4,471
Kwa kweli mi namshangaaga sanaaa,tena hili la kupigwa na kukimbilia chooni ilikua 2005 kwa mtoro.Anauzigi huyo mzeee acha tu.Eti leo kujikuta ye ndo msemaji wa waislamu na watu tunamskiliza ni maajabu