Inamana hakuna Drs na Profs waislamu, mbona hatuwaoni katika teuzi zake? Na vipi kuhusu kupendelea kanda ya ziwa, mikoa mingine hakuna madr na maprof?Acha ujinga. Manung'uniko ya Watanzania wangapi? Tunahitaji watu wenye upeo na uwezo wa kuendeleza taifa siyo masuala ya dini. Kama dini yao hawataki kusoma, unataka nani awasomee? Nani aliwakataza kusoma? Mbona kina Jakakaya wamesoma shule za mission? Kuna makabila mangapi ambayo hawakujali shule kwa sababu ya mila zao? Hakuna njia za mkato. Waende shule wapte sifa na uwezo, la sivyo watawakilishwa kwa kuwa maendeleo yapatikanapo (kama yengelikuwa yanapatikana), yasingewabagua kulioko kuongozwa na majuha kama enzi ya jk, mwisho wake mauti kwa taifa.
Umeelewa.
Mkuu vuta picha hii ishu ya bashite ingetokea kama bashite na top wake wangekuwa waislamu, tayari wangeshamtuhumu kwa dini yake pia.Mbona wasomi waislamu wapo
CAG ni nani?
Makame Mbarawa ni nani?
Alafu waislamu wenzangu hebu punguzeni inferiority complex, yaani kila siku kulialia eti hatuteuliwi, ivi utakua na sifa na usiteuliwe kivipi?
Kama tumejua hatujasoma sana basi ni wakati wetu kujitahidi kusoma elimu dunia ili tuendane na mfumo wa duniani lakini suala la kulilia huruma ya rais tuteuliwe ni sawa na kuomba kuteuliwa bila vigezo halali.
Sisi tuliwekeza sana kwenye elimu ya Allah(elimu ahera), ila wasomi wapo sio kweli kwamba hawapo
Wanaochaguliwa wanakua viongozi. Sasa sidhani kua viongozi wanazidi milioni moja. Waislamu waliosoma ni wengi tu kutosha kupewa hizo nafasi. Ni kweli kua wasio waislam walipata nafasi zaidi katika madarasa kuliko waislam. Ila haimaanishi kua hakuna waislam wa kutosha waliosoma. Acheni dhihakaAcha ujinga. Manung'uniko ya Watanzania wangapi? Tunahitaji watu wenye upeo na uwezo wa kuendeleza taifa siyo masuala ya dini. Kama dini yao hawataki kusoma, unataka nani awasomee? Nani aliwakataza kusoma? Mbona kina Jakakaya wamesoma shule za mission? Kuna makabila mangapi ambayo hawakujali shule kwa sababu ya mila zao? Hakuna njia za mkato. Waende shule wapte sifa na uwezo, la sivyo watawakilishwa kwa kuwa maendeleo yapatikanapo (kama yengelikuwa yanapatikana), yasingewabagua kulioko kuongozwa na majuha kama enzi ya jk, mwisho wake mauti kwa taifa.
Umeelewa.
HamnaKuna ka ukweli lakini
Mara nyingi hizi hoja wanazianzisha ndugu zetu wakristo hapa JF. Sijui malengo yaoMbona wasomi waislamu wapo
CAG ni nani?
Makame Mbarawa ni nani?
Alafu waislamu wenzangu hebu punguzeni inferiority complex, yaani kila siku kulialia eti hatuteuliwi, ivi utakua na sifa na usiteuliwe kivipi?
Kama tumejua hatujasoma sana basi ni wakati wetu kujitahidi kusoma elimu dunia ili tuendane na mfumo wa duniani lakini suala la kulilia huruma ya rais tuteuliwe ni sawa na kuomba kuteuliwa bila vigezo halali.
Sisi tuliwekeza sana kwenye elimu ya Allah(elimu ahera), ila wasomi wapo sio kweli kwamba hawapo
JPM KIGEZO CHA (PHD, DR, PROF) KTK TEUZI ,KINAWAACHA NYUMA WAISLAM, WALIACHWA NYUMA ELIMU DUNIA ''Nepotism''
Nafurahishwa sana na uteuzi unaofanywa la Raisi wetu mpendwa , John Pombe Magufuli , lakini kumbuka kuwa hawa waislamu ni jamii kubwa katika nchi yetu ya Tanzania, na wamepitaka katika kipindi kigumu kupata Elimu dunia ; wengi walishaeleza humu jamvini ilibidi wengine wabadili majina kama kina Jenerali Ulimwengu jina halisi ni Twaha : Na hii imewathiri kuwepo wasomi wachache sana katika level za PHD, DOCTOR, PROFESA. Kutokana na ubaguzi wa wakoloni .
Hii aina ya uteuzi uliyokuja nayo wa kuteua watu wengi wenye level za PHD,DOCT, PROF. Usifanye kama aina fulani ya kutenga jamii ya waislam . Check and balance izingatiwe
Tunafuatilia na tunaangalia kwa makini kila siku teuzi zako ;
Ni ushauri tu .
Baada ya utafiti . Aya ndo manunguniko ya watanzania katika Teuzi zako
Kwa mfano umteue Mwanasaikolojia kuwa Katibu Mkuu wizara ya Kilimo na Umwagiliaji kisa tu yeye ni Profesa!Ina maana ata kama awana elimu wataleuliwe tu kisa waislam??.Mfano umpe mtu kazi ya utabibu japo ajasomea kisa muislam??