technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,553
- 57,843
Nyinyi wanasiasa wewe ni CCM umebahatika umeshika dola haina sababu kwa kuwa wewe una dola unamuona CHADEMA na wananchi unaona ni wabaya, hii ni nchi yetu sote
Waione Malaria 2, chiembe na THE BIG SHOW.Nyinyi wanasiasa wewe ni CCM umebahatika umeshika dola haina sababu kwa kuwa wewe una dola unamuona CHADEMA na wananchi unaona ni wabaya, hii ni nchi yetu sote
View attachment 3311207
Lugha kazi yake ni kuwezesha mawasiliano kama umemuelewa inatoshaAna ❌
Hana ✅
Bakwata watamkana.Nyinyi wanasiasa wewe ni CCM umebahatika umeshika dola haina sababu kwa kuwa wewe una dola unamuona CHADEMA na wananchi unaona ni wabaya, hii ni nchi yetu sote
View attachment 3311207
Mashehe wa Bakwata ni makada watiifu wa CCMBakwata watamkana.
Kanisa katoliki nao ni ccm. Wanapokea fedha za MoUMashehe wa Bakwata ni makada watiifu wa CCM
Wewe nawe na ukasuku wako huu,hii ilishachuja.Kanisa katoliki nao ni ccm. Wanapokea fedha za MoU
Huyo Sheikh anajielewa
Swala la kutenda haki hata kwenye ngazi ya Familia ni jambo ambalo halina mbadala kwa jamii ya watu wenye Utu.Nyinyi wanasiasa wewe ni CCM umebahatika umeshika dola haina sababu kwa kuwa wewe una dola unamuona CHADEMA na wananchi unaona ni wabaya, hii ni nchi yetu sote
View attachment 3311207