Sheikh Jongo bado ana mengi ya kujifunza

Sheikh Jongo bado ana mengi ya kujifunza

Status
Not open for further replies.
mtt mganga wa kienyeji niambieee

Oooh bint yangu remote hujambo?

Hebu katika katika katikaa mpaka chini..

Katika mabwana wapo hapa wanataka kuleta posa wakuchukue...

Sasa chagua unataka kwenda kukalia upanga kwa mumeo ritz au unataka kwenda kalia kigogo kule kwa mumeo kahtaan??

Chaguo ni lako tuh bint yangu.
 
SoNotorious,
It could have been a nice observation minus ''s...t.''

You have insulted me for nothing.

Think correctly brother, It's not a personality attack, i just degraded your mastery deception to the milky mind citizens.
 
naona you are barking on the wrong tree.. wewe unajua mimi niko nchi gani???

We si fa.la tuh mlinz hapo airport kila siku tunapita tunakuchora??

Sasa unatamba kitu gani..??

Tunakujua toka zama unalamba mafua hapa Aza boys au tukuwekee na picha zako pimbi wewe...
 
Oooh bint yangu remote hujambo?

Hebu katika katika katikaa mpaka chini..

Katika mabwana wapo hapa wanataka kuleta posa wakuchukue...

Sasa chagua unataka kwenda kukalia upanga kwa mumeo ritz au unataka kwenda kalia kigogo kule kwa mumeo kahtaan??

Chaguo ni lako tuh bint yangu.

naskia tangu Matola akutoe bi..kra huonekani humu umekuwa mpo.
leeee kesho njoo hapa tbt kimanga bar ya mawenzi garden upate hata supu au kama mtwara njoo hapa villa park, kWA LIMO, polisi.mess au hapa Bima mtt wa kimakondeee uliejaaaaliwaaa
 
Last edited by a moderator:
Gs-300, hilo la ramadhani dau haliitaji majaribio,hiyo ni open secret katika corridors za power tanzania- vaa kubazi,kanzu,hijabu kininjaninja na tasbii kuukuu-ukiwa na ile kitu ya kwenye forehead nadhani inaitwa sigda wewe kazi ni guarantee

Mnaliona la nssf tu .... tupitie kila shirika na wizara tuone km kuna uwiano wa ajira ... waziri akiwa muislam wa chini yke wote wakiristo ... Makafiri chuki yenu haitoisha
 
Last edited by a moderator:
Son of Alaska

Nikutumie namba za Gloria kwenye PM unatukana mpaka mashemeji zako. Nadhani sasa utakuwa na adabu.
 
Last edited by a moderator:
Max! You always makes me laugh!
Huwezi kubadili jina pamoja na tabia!
Akili yako haina uwezo wa kufikiri zaidi ya hicho ulichokuwa feeded!

Sasa ukitiwa jiti kidogo tu! Miguu juu.

Sasa kupunguza huu upotezaji wa muda tutamwambia invisible apunguze hizi IDS ZAKO!
 
Unfortunately hao watu uliowataja,you cannot even grace the ground they walk on-such is the gap that there is no point-i aint mean ,but thats the reality-i would suggest you try one of your cohorts,the ritz`s,big show etc etc hapo naona it will be a level playing field

I can see you are tired of being Son of Alaska by adopting Texan 'accent' El Gringo, hola! Teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Asante shekhe. Kunawatu wanaakili mbaya hawajui kuwa msomi nilazima usome ukweli wote japokuwa huna mapenzi nayo asante shekhe Kwa maelezo yako murua
 
Kwa akili hizi basi ni wazi ipo siku mtasema Yanga na Simba ni timu kidini kisa waasisi wake walikuwa waislamu; nyie watu ni mufulisi wa fikra; kama kweli harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika zilikuwa za kidini ilikuwaje waliwashirkisha watu wa imani ya dini nyingine?? nimejiita Chama kwasababu hapa ndio mahali pake lakini kwenye anga za madrasa wengi hupendelea kuniita Bilal kwasababu za kimadrasa; ndio maana nilikwambia si TAA wala TANU iliyopigania uhuru wa Tanganyika kwa misingi ya kidini; wazee waliungana kama watanganyika hawakuangaliana machoni kwa misingi ya kidini kama mnavyotaka kubainisha nyie wachovu wa fikra; akili zenu bado ni fupi sana zimetawaliwa na udini ambao hata hamuujui mpo tu kushabikia vitu ambavyo hamuvielewi; wewe uliondoka Tanzania kwa kigezo cha kumkimbia Nyerere mbona hukwenda Mecca na Madina ulikwenda kwenye nchi zilizoota mizizi ya ukristo???Acha kuwa mnafiki!!

Usilolijuwa ni usiku wa kiza. Upiganie Uhuru ukiwa huru?

Si wazee tu wa wakati huo, hata leo hii, Muislaam yeyote mwenye nadharia kidogo na mwenye kuelewa maana ya Uislam basi hatopigania chochote ambacho ataona hakina manufaa na dini yake. Labda huelewi maana ya dini na maana ya Uislam.

Sijui kwa nini EAMWS iliuliwa na Nyerere? sijui kwanini Sheikh Hassan Bin Ameir alifukuzwa Dar. Sijui kwanini Sheikh Takadiri aliyekuwa karibu na Nyerere akatengwa na kuwa mbali nae na kuitwa "mtaka dini". Jee, wewe unaweza kutuelezea kwanini?
 
Usilolijuwa ni usiku wa kiza. Upiganie Uhuru ukiwa huru?

Si wazee tu wa wakati huo, hata leo hii, Muislaam yeyote mwenye nadharia kidogo na mwenye kuelewa maana ya Uislam basi hatopigania chochote ambacho ataona hakina manufaa na dini yake. Labda huelewi maana ya dini na maana ya Uislam.

Sijui kwa nini EAMWS iliuliwa na Nyerere? sijui kwanini Sheikh Hassan Bin Ameir alifukuzwa Dar. Sijui kwanini Sheikh Takadiri aliyekuwa karibu na Nyerere akatengwa na kuwa mbali nae na kuitwa "mtaka dini". Jee, wewe unaweza kutuelezea kwanini?

Unatoka povu hadi unajichanganya; mara nyingi unaipigania CCM humu jamvini sasa unaipigania CCM kwasababu ya imani yako kama mwanachama wa CCM au kama muislamu? maana sioni mahusiano ya CCM na Uislamu; tafuta wa kuwahadaa na hizi hadithi zenu za Kariakoo; mimi siihitaji kuhadithiwa nimeyaona mwenyewe.
 
Unatoka povu hadi unajichanganya; mara nyingi unaipigania CCM humu jamvini sasa unaipigania CCM kwasababu ya imani yako kama mwanachama wa CCM au kama muislamu? maana sioni mahusiano ya CCM na Uislamu; tafuta wa kuwahadaa na hizi hadithi zenu za Kariakoo; mimi siihitaji kuhadithiwa nimeyaona mwenyewe.

Unataka niupiganie Uislaam nje ya chama kilichoko madarakani? mimi siyo punguani najuwa nnachokifanya.
 
Acheni mjadala huu kwa muda, sheikh wetu kule amefariki
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom