Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,530
- 43,913
Teh teh teh! Umeamua kuomba msaada baada ya kumtaja mtume wenu.Naona wewe Homo Sapien siku nyingi sasa hujapata ban. naona unitaji kupumzika ili urecharge battery zako-tutaliangalia swala hilo
Juzi tu nimetoka kwenye ban wala unaweza kuwambia Mods wanipige ban ingine kwangu siyo tatizo.
Wewe kumtaja Kighoma Malima ulikuwa upo sawa.