Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,306
- 11,687
Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemedi Jalala Mwakindenge, amesema mataifa ya nje (mabeberu) yanatumia mmomonyoko wa maadili na uzushi wa mitandaoni kama silaha ya kuwagawa Watanzania ili kuwapofua wasiione fursa ya utajiri wa rasilimali zao.
Sheikh Jalala ameyasema hayo mara baada ya kuongoza Swala ya Eid El Adha (Eid ya Kuchinja) iliyofanyika katika Msikiti wa Ghadir Khum, uliopo Kigogo Posta mkoani Dar es Salaam.
Sheikh Jalala amesikitishwa na mataifa na watu wa nje wanaolalamika kuwa Tanzania kuna ukandamizaji wa kidini, akitaja kuwa madai hayo ni ya uongo na yana lengo la kupika chuki kwenye "kisiwa cha amani."
Royal Tv
Sheikh Jalala ameyasema hayo mara baada ya kuongoza Swala ya Eid El Adha (Eid ya Kuchinja) iliyofanyika katika Msikiti wa Ghadir Khum, uliopo Kigogo Posta mkoani Dar es Salaam.
Sheikh Jalala amesikitishwa na mataifa na watu wa nje wanaolalamika kuwa Tanzania kuna ukandamizaji wa kidini, akitaja kuwa madai hayo ni ya uongo na yana lengo la kupika chuki kwenye "kisiwa cha amani."
Royal Tv