PostGE2025 Sheikh Ibrahim Wasome: Tuombane msamaha, tuanze upya

PostGE2025 Sheikh Ibrahim Wasome: Tuombane msamaha, tuanze upya

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,451
Reaction score
14,685
IMG_6607.jpeg

"Unajua kitu chochote ili kianze upya kinatakiwa kuna kitu kifanyike sasa ili Mimi na wewe ili tuanze upya katika mambo ambayo tulifanyiana yawe yamekufurahisha wewe hayajanifurahisha Mimi au yamenifurahisha Mimi ila wewe hayajanifurahisha.

"Kitu pekee kinachosababisha hawa watu waanze upya ni kuombana msamaha. Ninapokwambia wewe nisamehe na wewe ukasema nimekusamehe kuanzia pale tunafuta yote na tunaanza upya"- Sheikh Ibrahim Wasome
 
lkn hayo yanawezekana tu kama unadili na ''binadamu wa kawaida', hapa hatudili na binadamu bali tunadili na evil, evil haijui msamaha, sana sana mkilegeza kamba wataichukulia kama udhaifu na kuwamaliza kabisa vizazi hadi vizazi.

ni vita good against evil ...
 
View attachment 3501614
"Unajua kitu chochote ili kianze upya kinatakiwa kuna kitu kifanyike sasa ili Mimi na wewe ili tuanze upya katika mambo ambayo tulifanyiana yawe yamekufurahisha wewe hayajanifurahisha Mimi au yamenifurahisha Mimi ila wewe hayajanifurahisha.

"Kitu pekee kinachosababisha hawa watu waanze upya ni kuombana msamaha. Ninapokwambia wewe nisamehe na wewe ukasema nimekusamehe kuanzia pale tunafuta yote na tunaanza upya"- Sheikh Ibrahim Wasome
Huyu Sheikh mbona yupo tofauti na wale wengine
 
Back
Top Bottom