Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
INNA LILAHI WAINNA ILAIHI RAJIHUNNA
kwamba Kaimu Mufti Mkuu, Sheikh Suleiman Gorogosi amefariki dunia katika ajali ya gari akiwa safarini akitokea Mtwara kwenda Lindi.
Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana Marehemu Gorogosi aliondoka Dar leo kwa ndege kwenda Lindi kupitia Mtwara, akashuka na ndege mtwara kwenda Lindi gari ambapo inasemekana tairi la mbele la gari alilokuwa akisafiria lilipasuka na gari kupinduka.
kwamba Kaimu Mufti Mkuu, Sheikh Suleiman Gorogosi amefariki dunia katika ajali ya gari akiwa safarini akitokea Mtwara kwenda Lindi.
Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana Marehemu Gorogosi aliondoka Dar leo kwa ndege kwenda Lindi kupitia Mtwara, akashuka na ndege mtwara kwenda Lindi gari ambapo inasemekana tairi la mbele la gari alilokuwa akisafiria lilipasuka na gari kupinduka.