son of a teacher
JF-Expert Member
- Jul 30, 2017
- 515
- 1,364
Tuliumwa na Corona tukiwa jela tulikuwa Kama 40 hivi tuliopatwa na Corona jela lakini tulitibiwa vizuri tulipewa dawa ya Azithromycin na dawa nyingine ya pumu kila siku kidonge kimoja kwa siku tatu na tunamshukuru Mungu tulipona wote ni mitihani ambayo kwa binaadamu ni kawaida kupata.
Kipindi tulipopata Corona mwaka jana tulikuwa hatusikii harufu ya chochote hata ulete mafuta ya kunukia kiasi gani upitishe puani harufu tulikuwa hatusikii na ilikuwa ni kwa wote tulipatwa na wasiwasi huenda Hali yetu ya kawaida isingejirudia na kifua kilikuwa kinabana Sana
Naomba niwashukuru wote mlioguswa na sisi kuwa jela mliosimama na sisi katika kipindi kigumu na mpaka uonevu huu ukaondolewa..
Sheikh Farid Uamsho
Kipindi tulipopata Corona mwaka jana tulikuwa hatusikii harufu ya chochote hata ulete mafuta ya kunukia kiasi gani upitishe puani harufu tulikuwa hatusikii na ilikuwa ni kwa wote tulipatwa na wasiwasi huenda Hali yetu ya kawaida isingejirudia na kifua kilikuwa kinabana Sana
Naomba niwashukuru wote mlioguswa na sisi kuwa jela mliosimama na sisi katika kipindi kigumu na mpaka uonevu huu ukaondolewa..
Sheikh Farid Uamsho