Gambamala
JF-Expert Member
- May 13, 2014
- 1,045
- 766
Nisaidie andiko japo la leo lilorekebeshwa kuwa Yesu kaondoka na katuwachia kitabu kifahamikacho kwa jina la "BIBLIA".
Wewe jiulize kwanza kwanini Quran inaitawaita wakristu watu wa kitabu? Dah, ujui hata Quran
Soma hii
Sura 9:29
Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii