Sheikh Farid jipange upya single yako haijaeleweka

KIBE

JF-Expert Member
Nov 23, 2010
943
184
“Sijala kitu chochote kwa sababu hiyo nyumba haikaliwi na mtu lakini hata kama ningeletewa chakula nisingekula kwa sababu siwezi kuwaamini kula chakula chao kwa hivyo nilichokuwa nafanya nikienda chooni kujisaidia ndio nakunywa maji ya mferejini kwa wingi sana na Alhamdulillah (nashukuru Mungu) amenisaidia,” aliongeza Sheikh huyo ambaye alikuwa amezongwa na umati mkubwa hapo nyumbani kwake. sikuwa naona kitu chochote kwa kuwa alikuwa amefunikwa uso wote”,“Kwa kweli nazungumza neno kutoweka lakini mimi sikutekwa bali nilichukuliwa na watu ambao ni polisi na wakaniingiza katika gari na kunipeleka sehemu moja ambayo mimi nilikuwa siijui wakanifunga kitambaa machoni na kunipeleka sehemu nisiyoifahamu na kuniingiza katika nyumba yenye geti nikiwa na kitambaa cheusi usoni,”
 
usichoelewa ni maelezo yake ama ishu nzima ya faridi.hapa kwa mujibu wa maneno yke mbona yaneleweka labda ishu ya uamsho ambayo ww hujaindika hapa.
 
"Sijala kitu chochote kwa sababu hiyo nyumba haikaliwi na mtu lakini hata kama ningeletewa chakula nisingekula kwa sababu siwezi kuwaamini kula chakula chao kwa hivyo nilichokuwa nafanya nikienda chooni kujisaidia ndio nakunywa maji ya mferejini kwa wingi sana na Alhamdulillah (nashukuru Mungu) amenisaidia," aliongeza Sheikh huyo ambaye alikuwa amezongwa na umati mkubwa hapo nyumbani kwake. sikuwa naona kitu chochote kwa kuwa alikuwa amefunikwa uso wote","Kwa kweli nazungumza neno kutoweka lakini mimi sikutekwa bali nilichukuliwa na watu ambao ni polisi na wakaniingiza katika gari na kunipeleka sehemu moja ambayo mimi nilikuwa siijui wakanifunga kitambaa machoni na kunipeleka sehemu nisiyoifahamu na kuniingiza katika nyumba yenye geti nikiwa na kitambaa cheusi usoni,"

Wakanizungusha katika roundi abouti ya..... mara 4. Hawajanitesa ila walipiga risasi chini jirani na miguu yangu niliwaona wamevalia soksi nyeusi usoni na mimi walinifunga kitambaa cheusi usoni . Njia ya mwongo fupiii...! .


Mara.... katibu wa uamsho anawasihi waslamu wasiendelee na vurugu maana muamsho amepatikana
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Wakanizungusha katika roundi abouti ya..... mara 4. Hawajanitesa ila walipiga risasi chini jirani na miguu yangu niliwaona wamevalia soksi nyeusi usoni na mimi walinifunga kitambaa cheusi usoni . Njia ya mwongo fupiii...! .


Mara.... katibu wa uamsho anawasihi waslamu wasiendelee na vurugu maana muamsho amepatikana

Labda WALIPATA connection zake na kumwambia wanazifunga na yeye hana KAZI atakula wapi? na kuishi maisha ya RAHA? Sasa anasema WAISLAMU wasiendelee na VURUGU? Ina Maana hata PASSPORT yake ina RED ALERT; Hawezi kupanda NDEGE kwenda ARABUNI... Sasa ni ZANZIBAR tuuuuuuuuuuuuuu basi
 
Back
Top Bottom