PreGE2025 Sheikh Alhad Mussa aomba watakaomtakia mabaya Rais Samia wapate kiharusi

PreGE2025 Sheikh Alhad Mussa aomba watakaomtakia mabaya Rais Samia wapate kiharusi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,306
Reaction score
271,576
Hebu jionee Mwenyewe

===
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Amani na Maridhiano Tanzania, Sheikh Alhad Mussa Salum amekemea vikali wanaharakati wanaoleta Taharuki Nchini na kwamba hawatafanikiwa kuondoa Amani iliyopo kwa uwezo wa mungu

"Na yeyote atakayemtakia mabaya mama huyu, Mwenyezi Mungu ampe stroke ya hatari...semeni Amin..... Yeyote atakayemuandama mama huyu atakayemtakia shari Mwenyezi Mungu ampe kiharusi kikubwa sana" - Sheikh Alhad Mussa Salum


Halafu Toa Maoni yako
 
Hebu jionee Mwenyewe

View attachment 3342991

Halafu Toa Maoni yako

Alimsomea Mange albadiri akasema atakufa in weeks, na aliyesomewa anadunda tu tena anaelekea kuwa bilionea sasa huku msomaji akimtazama na umaskini wake! Inawezekana baada ya kusoma dua alienda kuzini ikabuma! Maana hajambo kwa maswala hayo

Hii nayo ishabuma pia kabla ya utekelezaji
 
Huyu naye atuondolee upuuzi wake hapa, alimsomea dua mbaya Mange Kimambi hadi leo Mange anatamba matokeo yake yeye ndiye alimwagwa kwenye nafasi aliyokuwepo. Halafu tuna ishu yake na Babake Mo Dewji akileta za kuleta tutaifufua.
😆😆😆😆
 
Hebu jionee Mwenyewe

===
wenyekiti wa Jumuiya ya Amani na Maridhiano Tanzania, Sheikh Alhad Mussa Salum amekemea vikali wanaharakati wanaoleta Taharuki Nchini na kwamba hawatafanikiwa kuondoa Amani iliyopo kwa uwezo wa mungu

View attachment 3342991

Halafu Toa Maoni yako
Kumsifia Saa100 ni kuleta laana kwenye jamii
 
Back
Top Bottom