Mtanzania1
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 1,168
- 167
Sheikh ameenda kasi sana......kwa mtazamo wangu nadhani kwanza angepambana zbar iwe nchi inayofuata sharia za kiislam kisha yote hayo yatafuata yenyewe
safi sana, choma bar zote hizo, washenzi hao wanataka kuharibu maadili ya zanzibar, bora muungano ufe ili zanzibar iwe nchi ya kiislam halafu tumuone mwanaharam yoyote anakuja kufungua bar, tutanyongaaa.
Zanzibar The Zanzibar Muslim Youths Mobilisation and Propagation group has said it supports the recent wave of burning of bars in the isles, and vowed to take tougher action against people selling alcohol.
"We support those burning bars, although we have not urged them to do so. We ask the government to make sure all small restaurants and bars are closed....," the group's leaders, Sheikh Msellem Ali, Sheikh Azzan Khalfan and Sheikh Abdallah, said.
Sheikh Abdallah said: "We want all bars and restaurants to be closed.... read more allAfrica.com: Tanzania: Zanzibar Group Supports Arsonists Targeting Bars
hongereni sana wazanzibar !!... POMBE NDIO CHANZO CHA DHAMBI ZOTE..... nyie mnaosema waanze na mahoteli makubwa.. kumbukeni watoto wa primary na secondary hawawezi kufika kule...... kuchoma hizi baa za mitaani zitasaidia kulinda maadili ya watoto wao..
natamani mishemishe hizi zingekuwa kule kwetu tanga nako.. tuchome baa zote!!
Wewe ni muhafidhina, we bar inakuhusu nini???hapo uarabuni kwenyewe kwenye asili ya dini yenu bar, kitimoto na vingine vingi tu tumeviona, wewe shika imani yako na mungu wangu, bia hunywi uwepo wa bar au kanisa wewe vinakukera nini kama sio upuuzi tu??we unafkiria kama kusingekuwa na wanywaji bia huko ZNZ mtu mwenye akili yange angefungua bar huko???Hizi dini tunazikurupukia bila kupata elimu ya kutosha zinasumbua sana. Wengi mnaong'ang'ana na mambo ya kipuuzi hamna shughuli za kufanya, Rais shein mwenzenu anapiga mvinyo kama kawa nyi mnabaki kufuga mijidevu tu kama mikia ya bata, kwa hayo uliyoyaandika unamaadili gani wewe, kinywa kinaonekana kama cha mzee wa miaka 90. umenchafua sana kijana.