tz1 JF-Expert Member Mar 19, 2011 2,121 534 May 30, 2012 #1 Polisi Arusha leo alfajiri wamekamata lori likiwa na magunia 50 ya bangi mpakani wa kenya na TZ.
Gama JF-Expert Member Jan 9, 2010 13,266 4,716 May 30, 2012 #2 Elezea /fafanua zaidi ili tuweze kuchangi. Lilikuwa linaingia Tanzania au lilikuwa linaenda Kenya. BTW, nadhani walishindana dau.......
Elezea /fafanua zaidi ili tuweze kuchangi. Lilikuwa linaingia Tanzania au lilikuwa linaenda Kenya. BTW, nadhani walishindana dau.......
tz1 JF-Expert Member Mar 19, 2011 2,121 534 May 30, 2012 Thread starter #3 Gama said: Elezea /fafanua zaidi ili tuweze kuchangi. Lilikuwa linaingia Tanzania au lilikuwa linaenda Kenya. BTW, nadhani walishindana dau....... Click to expand... Gama Lilikuwa lina enda kenya.Hata mimi naamini walishindwana dau maana mzigo huu ni mkubwa sana. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Gama said: Elezea /fafanua zaidi ili tuweze kuchangi. Lilikuwa linaingia Tanzania au lilikuwa linaenda Kenya. BTW, nadhani walishindana dau....... Click to expand... Gama Lilikuwa lina enda kenya.Hata mimi naamini walishindwana dau maana mzigo huu ni mkubwa sana.