Shehe na pensi mpya

Shehe na pensi mpya

dmatemu

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2008
Posts
956
Reaction score
553
Shehe mmoja aliletewa zawadi ya pensi kutoka Oman. Alipendelea sana kuivaa na kanzu wakati wa swala. Ilitokea siku moja Shehe alichelewa swala ya ijumaa na ilimbidi avae kanzu haraka haraka na akasahau kuva pensi. Wakati anatoa udhu miguuni alipandisha kanzu juu na makalio yote nje bila kujua, waumini wakamuuliza kwa mshangao baada ya kumuona shehe makamilio wazi. He! Vipi shehe mbona hivyo?
Shehe akajibu " he he hee MAMBO YA OMAN hayo"
 
Ugomvi huo, haya mimi simo.

nanusa harufu ya udini hapa.
Kwanini isiwe padre kaletewa pensi toka Vatican, au kasisi wa Lutheran kaletewa pensi toka Jeremani, potelea mbali, au shemasi wa Anglican kaletewa toka Uingereza.
Udini huu...
 
dah mi thina neno ila nimecheka. teh teh teh kwi kwi !!?
 
hahaha ingekuwa padre isingechekesha jamaa kafanisha kuinama masaburi nje na Oman sasa vatican wanamind masaburi... si ni oman.....
 
nanusa harufu ya udini hapa.
Kwanini isiwe padre kaletewa pensi toka vatican, au kasisi wa lutheran kaletewa pensi toka jeremani, potelea mbali, au shemasi wa anglican kaletewa toka uingereza.
Udini huu...
na wewe unafanya nini?
 
hahaha ingekuwa padre isingechekesha jamaa kafanisha kuinama masaburi nje na Oman sasa vatican wanamind masaburi... si ni oman.....

Inaonekana ulishaenda oman wakakupakata masaburi yako kwa maelezo yako inaonesha u mzoefu
 
Bokoharamu wasumbufu sana wao kila kitu uchokozi tu!
 
Shekhe, ustadhi, maalim, muftiiiiii kwishnieeee.
 
nanusa harufu ya udini hapa.
Kwanini isiwe padre kaletewa pensi toka Vatican, au kasisi wa Lutheran kaletewa pensi toka Jeremani, potelea mbali, au shemasi wa Anglican kaletewa toka Uingereza.
Udini huu...

Huku hatuna udini
 
hahahahaha!hi kali sana!hahahaha!nimecheka mpaka watu wananishangaa bar.hahahahaha.
 
nanusa harufu ya udini hapa.
Kwanini isiwe padre kaletewa pensi toka Vatican, au kasisi wa Lutheran kaletewa pensi toka Jeremani, potelea mbali, au shemasi wa Anglican kaletewa toka Uingereza.
Udini huu...

Mkuu kwa wote hao isingetakiwa ilopo ni kukataza udini hata humu jf kwa ujumla
 
Searching...100%
Loading...0%
Network failed !

What this !?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom