She wasn't a girl ...................wasn't yet a woman

It is very true, lkn what good can it do tukimsaidia kujutia maamuzi yake ya nyuma?
Every decision has a consenquense, ingawa zaweza zidiana. Kuna series moja ninaiangalia unaitwa "day break"; inahusu jamaa anae experience déjà vu; ameiishi siku moja over and over again, na anapojaribu kubadilisha machaguo bado anakutana na kitu kibaya mwishoni, au mpenzi wake auwawe au dada yake au rafiki zake au yeye mwenyewe afungwe etc.

So my bro alimuoa mkewe, na kumuacha binti wa kitanga; who knows (kama wadau walivyosema), angekuwa yeye ndio kaupata huo ugonjwa si na kaka yangu angeambukizwa?

My bro met his lover wakati hawakuwa vizuri na mchumba wake; so it was only natural kuona kuwa new girl is superb. Angepata nafasi ya kukaa naye kwa muda mrefu kama alivyokaa na mchumba wake huenda asingemuona a saint kivile; who knows.

So Smile dear, kumbatia kila day na u-count your blessings kwani hakuna kitu smooth (happily ever after) labda kwenye fairly tales tu.
thax kwa ushauri dada kesho hakuna aijuae , mpe mnyamwezi wako pole
 
Hivi virusi vya ukimwi jamani sina la kusema!! Ni kiboko ya mambo yote.
 
Ni kweli ni ngumu kutabiri future..Lakn wakati mwingine MAAMUZI yetu huwa yanatucost..Tafakari kabla ya kutenda na umshirikisheMungu.
mmmh zote ni assumption tu maybe hali ingekuwa nzuri zaidi je?
kweli future is unpredictable jamani? kwanini Mungu sometimes anakuwa kimya hivo?
 
Kwanza kabisa unatakiwa umshukuru Mungu, Kwa sababu Everything happen for reason!!! so usikate tamaa katika maisha ingali bado uko hai na una afya njema. Muombe Mungu akuongoze katika maisha yako hayo mapya ili usije ukakosea tena.

Katika maisha ya Africa wazazi wana Playpart kubwa sana katika kukushauri ni mwanamke gani anakufaa au hakufai , hii inatokana na uchunguzi waliofanya au kujua matatizo ya makabila mengine, Na nafikiri labda wewe ndiyo ungekuwa umekufa kama engeneer kama ungemuoa huyo dada au la, hakuna anayejua nn kingekupata.
 
mkuu kwanza nikupe pole!mimi ni "mtabiri wa mambo ambayo yangetokea"!!!!natabiri kwamba yule dada wa kibondei yeye ndio kamuambukiza ugonjwa yule engineer!natabiri kwamba ungemuoa yule dada wa kibondei ungekuwa umechukua nafasi ya engineer,ungekuwa umeambukizwa,ungekuwa umeshakufa,usingeandika post hii,nami nisingechangia hapa!.....so be happy now...kila jambo hutokea kwa sababu,amini...ulichonacho ndio kitu bora zaidi Mungu amependa kukupa!nenda kwa amani
lolest!!!! Nimechka sana! What a reply!!:smiling:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom