KIKUNGU
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 845
- 585
Good friday guys and i wish you an enjoyable weekend as well.Jamani nina kisa hiki nataka ku-share na nyinyi na naomba experience zenu hasa kwa wale ambao ni vijana/wadada wa 90's au mapema 2000.Naomba mchangie ili tuwape experience wale ambao either wanatarajia au karibuni wameoa/olewa,hasa wewe BABU DC,the BOSS,ASHADII na wengineo wote na wewe LIZZY hata sijui uko wapi maana umeadimika.
Ilikuwa mwanzoni mwa karne hii nilkuwa vacation hapa nyumbani nikiwa nimemwacha mchumba wangu(my high school sweetheart) ughaibuni,nilikutana na dada wa kibondei(kabila moja kule Tanga),tulikuwa tunasali nae kanisa la St Anthony kule Chumbageni.Ni ajali iliyotukutanisha,kilikuwa ni kipindi cha mwezi wa dec,nikiwa kanisani,joto kali,msongamano wa watu na mabadiliko ya ghafla ya hali ya hewa toka baridi ya winter na joto kali la dec hapa nyumbani,nilianguka nikazimia kanisani.Nilikuja zinduka nikiwa Tumaini hospital pembeni yangu kuna mdada,she was a really lady in every sense.Kwa wale mnao wajua au kusikia hawa wabondei ni kama mchanganyiko wa wabantu na waarabu.Akaniambia kwa nini niko pale na kwamba ni yeye alinileta pale kutoka kanisani kwenye gari la mama yake.Nilitoka hospital baada ya DR aliyekuwa ananihudumia kuniambia sikuwa na tatizo.
Haikuwa coincedence,lakini zilikuwa siku zangu za ujana na nilikuwa sijaoa japo nilikuwa na mchumba,lakini kwa maoni yangu unahitajika "KU-PLAY AROUND" kabla ya kuoa,but try to play safe,if you know what i mean.Niliingia kwenye mahusiano ya muda mfupi ni huyu binti.Katika kufahamiana,yeye ndio kwanza alikuwa amemaliza form six pale Kifungilo girl's secondary, Lushoto.Alinipagawisha kwa muda mfupi tuliokuwa pamoja.Na kwa kuwa tulikuwa bado tuna "ISSUES" za ku sort out na mchumba wangu wa ughaibuni,mawazo yalibadilika,seriously nilitaka kutangaza uchumba na huyu binti wa kibondei.
My mother(mungu amrehemu huko aliko)stepped in,aliniambia kuwa huyu siwezi kumuoa sababu hakuwai kuniambia mbaka mungu lipomchukua.Yule dada nae hakuwa tayari kukubali uchumba wangu kwa sababu alikusema bado yeye ni binti na bado hajafikia umri wa kuolewa kwa kipindi cha miaka mitano iliyofuata japo mama yake alibariki mahusiano yetu kwani sikuyaficha kwao.
Two years later nilimuoa my high school sweetheart,kanisani pale pale nilipoanguka two years ago,yule binti akishuhudia nikiwa altareni.Yule binti niliendelea kuwasiana nae japo siwahi kurudi tena bongo mpaka kipindi naoa,na yeye alikuwa mwaka wa pili chuo kikuu.Alimaliza chuo akapata kazi ya ualimu wa secondary huko huko Tanga.Alikutana na Engineer mmoja wa Tanesco ambae alikuwa ni either age mate wangu au mkubwa kunizidi.Four years later yule Engineer alifariki na yule dada miaka miwili baadae,kwa huu ugonjwa wa kisasa.
Ten years later with two lovely kids, i divorced my wife,kwa sababu ambazo ni aibu kuzielezea hapa.
Miaka yote iliyobaki ya maisha yangu nitaendelea kujiuliza (regretting),japo michango yenu nitaipa utmost consideration kwamba,kwa kuanguka kwangu kanisani na kukutanishwa na yule binti yalikuwa ni mapenzi ya mungu ili mimi nimuoe yule binti labda ningekuwa bado nafurahia maisha ya ndoa na watoto wangu?Wazazi wana nafasi gani ya ku play kwenye maamuzi ya yupi watoto waoe?Have you played around before getting married and what is/was your experience?Je kuna ukweli kwamba kuna makabila hayafai kuoa(take this as reference,kwamba wabondei wanaitwa "MLANGO WA NANE",kwamba ni wachoyo kidogo,wachawi kidogo,malaya kidogo, yaani wana vitu vibaya vinane kama hivyo hapo).Kwamba labda yule binti kama ningemuoa labda asingekutana na yule Engineer ambae alimpa kale kaugonjwa?
Naomba michango yenu na sio lazima uongelee kila kitu,unaweza kuchagua kitu kimoja ukachangia.
Mbarikiwe sana
Ilikuwa mwanzoni mwa karne hii nilkuwa vacation hapa nyumbani nikiwa nimemwacha mchumba wangu(my high school sweetheart) ughaibuni,nilikutana na dada wa kibondei(kabila moja kule Tanga),tulikuwa tunasali nae kanisa la St Anthony kule Chumbageni.Ni ajali iliyotukutanisha,kilikuwa ni kipindi cha mwezi wa dec,nikiwa kanisani,joto kali,msongamano wa watu na mabadiliko ya ghafla ya hali ya hewa toka baridi ya winter na joto kali la dec hapa nyumbani,nilianguka nikazimia kanisani.Nilikuja zinduka nikiwa Tumaini hospital pembeni yangu kuna mdada,she was a really lady in every sense.Kwa wale mnao wajua au kusikia hawa wabondei ni kama mchanganyiko wa wabantu na waarabu.Akaniambia kwa nini niko pale na kwamba ni yeye alinileta pale kutoka kanisani kwenye gari la mama yake.Nilitoka hospital baada ya DR aliyekuwa ananihudumia kuniambia sikuwa na tatizo.
Haikuwa coincedence,lakini zilikuwa siku zangu za ujana na nilikuwa sijaoa japo nilikuwa na mchumba,lakini kwa maoni yangu unahitajika "KU-PLAY AROUND" kabla ya kuoa,but try to play safe,if you know what i mean.Niliingia kwenye mahusiano ya muda mfupi ni huyu binti.Katika kufahamiana,yeye ndio kwanza alikuwa amemaliza form six pale Kifungilo girl's secondary, Lushoto.Alinipagawisha kwa muda mfupi tuliokuwa pamoja.Na kwa kuwa tulikuwa bado tuna "ISSUES" za ku sort out na mchumba wangu wa ughaibuni,mawazo yalibadilika,seriously nilitaka kutangaza uchumba na huyu binti wa kibondei.
My mother(mungu amrehemu huko aliko)stepped in,aliniambia kuwa huyu siwezi kumuoa sababu hakuwai kuniambia mbaka mungu lipomchukua.Yule dada nae hakuwa tayari kukubali uchumba wangu kwa sababu alikusema bado yeye ni binti na bado hajafikia umri wa kuolewa kwa kipindi cha miaka mitano iliyofuata japo mama yake alibariki mahusiano yetu kwani sikuyaficha kwao.
Two years later nilimuoa my high school sweetheart,kanisani pale pale nilipoanguka two years ago,yule binti akishuhudia nikiwa altareni.Yule binti niliendelea kuwasiana nae japo siwahi kurudi tena bongo mpaka kipindi naoa,na yeye alikuwa mwaka wa pili chuo kikuu.Alimaliza chuo akapata kazi ya ualimu wa secondary huko huko Tanga.Alikutana na Engineer mmoja wa Tanesco ambae alikuwa ni either age mate wangu au mkubwa kunizidi.Four years later yule Engineer alifariki na yule dada miaka miwili baadae,kwa huu ugonjwa wa kisasa.
Ten years later with two lovely kids, i divorced my wife,kwa sababu ambazo ni aibu kuzielezea hapa.
Miaka yote iliyobaki ya maisha yangu nitaendelea kujiuliza (regretting),japo michango yenu nitaipa utmost consideration kwamba,kwa kuanguka kwangu kanisani na kukutanishwa na yule binti yalikuwa ni mapenzi ya mungu ili mimi nimuoe yule binti labda ningekuwa bado nafurahia maisha ya ndoa na watoto wangu?Wazazi wana nafasi gani ya ku play kwenye maamuzi ya yupi watoto waoe?Have you played around before getting married and what is/was your experience?Je kuna ukweli kwamba kuna makabila hayafai kuoa(take this as reference,kwamba wabondei wanaitwa "MLANGO WA NANE",kwamba ni wachoyo kidogo,wachawi kidogo,malaya kidogo, yaani wana vitu vibaya vinane kama hivyo hapo).Kwamba labda yule binti kama ningemuoa labda asingekutana na yule Engineer ambae alimpa kale kaugonjwa?
Naomba michango yenu na sio lazima uongelee kila kitu,unaweza kuchagua kitu kimoja ukachangia.
Mbarikiwe sana