Catherine
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,261
- 761
Ningempiga omoplata sweep na kumalizia na anaconda choke!
mashkolomageni! Ndio nini hizo?
Ningempiga omoplata sweep na kumalizia na anaconda choke!
mashkolomageni! Ndio nini hizo?
Heheheee....ni techniques za Brazilian Jiu-Jitsu.
hivyo! Techniques zinaonekana zipo bomba, nahisi angelia kwa furaha. Lol
Unataka nikufundishe?
Msaada ndugu zanguni niko cross road mwenzenu.
Tumedumu na mpenzi wangu kwa takribani miezi 9, tukaaminiana, tukapendana na kufanya kila kitu pamoja. August 25 akaniambia anajisikia kuumwa sana tumbo na uchovu mwili mzma. Nikamshauri twende hosptl kupima malaria, pregnancy,etc.
Nimejaribu kumshauri asiitoe mimba yangu, hajui mungu kampangia nini juu ya uzazi wake hataki, kasimamia msimamo wake wa kuitoa. Majibu yakaja kwamba ana mimba ya mwezi m1, kwa kweli kila mmoja wetu akatabasamu hasa mie ukizingatia ni uthibitisho wa ulijari wangu na kumhaidi kwamba ndiye mke wangu wa maisha. Cha kushangaza sana jana kaniambia kwamba anajiandaa kuitoa hiyo mimba coz hakuwa tayari kubeba mimba kwa sasa kwani malengo yake bado hayajatimia, kaenda kwa daktari kamwambia aende jumatano wakafanye hiyo kitu.
Swali langu kwenu, Je nitaweza kupata msaada wa kisheria kama atatoa mimba hii bila ridhaa yangu?
Ushauri wenu pia.
i can imagine unapita kwenye wakati gani!pole sana !lakini usibaki kulalamika,komaa onyesha msimamo,tetea uhai wa mtoto wako!Ahasante kwa ushauri ndugu zangu. Ninachokiona mimi mwenyewd ni kwamba nahc kama anataka kuniaacha kwa mbinu hiyo, huenda kuna mwanaume mwenye mali, magari, etc kamdanganya anataka kumuoa solution kaona ni kuitoa mimba yangu ili awe huru na mambo yao.
Mimi msimamo wangu nimemwambia kama atafanya hivyo nampeleka mahakamani tukakutane huko. Na nitahakikisha yeye, wazazi wake, huyo daktari na yeyote atakayehusika na kitendo hicho ataonja mkono wa sheria.
Kwa kweli nampenda sana na hiyo ni mimba yangu ya kwanza kumpa mwanamke tangu nije hapa duniani halafu yeye anataka kuniulia mwanangu bila sababu.
Maumivu ninayopata ni makubwa sana kuhusu suala hili. Mwenzangu kashikilia msimamo wake kwamba anatoa mimba na yupo radhi kufa ama kufungwa.
Nikimuuliza sbb haswa ni nn anadai kaamua hivyo coz hayupo tayari kubeba mimba kwa sasa.
Vyeti vya hosptl anavyo kwao mie kaniacha soremba nimemwambia kesho jioni tuonane kwanza hataki kabisaaaa.
Oooh My Lord save this innocent baby whom I am fighting not to be destroyed.
Msaada ndugu zanguni niko cross road mwenzenu.
Tumedumu na mpenzi wangu kwa takribani miezi 9, tukaaminiana, tukapendana na kufanya kila kitu pamoja. August 25 akaniambia anajisikia kuumwa sana tumbo na uchovu mwili mzma. Nikamshauri twende hosptl kupima malaria, pregnancy,etc.
Majibu yakaja kwamba ana mimba ya mwezi m1, kwa kweli kila mmoja wetu akatabasamu hasa mie ukizingatia ni uthibitisho wa ulijari wangu na kumhaidi kwamba ndiye mke wangu wa maisha. Cha kushangaza sana jana kaniambia kwamba anajiandaa kuitoa hiyo mimba coz hakuwa tayari kubeba mimba kwa sasa kwani malengo yake bado hayajatimia, kaenda kwa daktari kamwambia aende jumatano wakafanye hiyo kitu.
Nimejaribu kumshauri asiitoe mimba yangu, hajui mungu kampangia nini juu ya uzazi wake hataki, kasimamia msimamo wake wa kuitoa.
Swali langu kwenu, Je nitaweza kupata msaada wa kisheria kama atatoa mimba hii bila ridhaa yangu?
Ushauri wenu pia.
Naomba tena kuuliza ndugu zangu:
Kwa hapo eti nani mwenye hiyo mimba YEYE au MIMI??
Nani mwenye maamuzi na hiyo mimba yeye au mimi?
Updates..!
Wakuu najitokeza tena kwa mara ya pili.
Huyu mpenzi wangu baada ya kutoa mimba akaja kuniomba radhi in fact kwa kuwa nampenda sana nikamsamehe tukaendelea na uhusiano wetu.
Mwezi huu akawa anajisikia tumbo kuuma na ikapita siku tatu bila kuona MP nikamwambia nenda kapime urine majibu yakawa positive (ana mimba) nikamwambia kwa sasa itabidi tu uzae kwani muda ushafika na tumejipanga kuishi kama mke na mume.
Mwenzangu kawa mkali anadai anatoa hiyo mimba muda wa kuzaa bado.
Jana tumegombana sana mpaka kufikia yeye kuvunja vunja vyombo na anasema kama sitaki kuitoa hiyo mimba atafanya kama ile ya kwanza.
Nimemuuliza hv we mwanamke hujihurumii afya yako, hii ni mimba ya pili unaitoa ukiwa na mimi, je previous umetoa ngapi?
Ushauri wenu tena wakuu.
Updates..!
Wakuu najitokeza tena kwa mara ya pili.
Huyu mpenzi wangu baada ya kutoa mimba akaja kuniomba radhi in fact kwa kuwa nampenda sana nikamsamehe tukaendelea na uhusiano wetu.
Mwezi huu akawa anajisikia tumbo kuuma na ikapita siku tatu bila kuona MP nikamwambia nenda kapime urine majibu yakawa positive (ana mimba) nikamwambia kwa sasa itabidi tu uzae kwani muda ushafika na tumejipanga kuishi kama mke na mume.
Mwenzangu kawa mkali anadai anatoa hiyo mimba muda wa kuzaa bado.
Jana tumegombana sana mpaka kufikia yeye kuvunja vunja vyombo na anasema kama sitaki kuitoa hiyo mimba atafanya kama ile ya kwanza.
Nimemuuliza hv we mwanamke hujihurumii afya yako, hii ni mimba ya pili unaitoa ukiwa na mimi, je previous umetoa ngapi?
Ushauri wenu tena wakuu.
Msaada ndugu zanguni niko cross road mwenzenu.
Tumedumu na mpenzi wangu kwa takribani miezi 9, tukaaminiana, tukapendana na kufanya kila kitu pamoja. August 25 akaniambia anajisikia kuumwa sana tumbo na uchovu mwili mzma. Nikamshauri twende hosptl kupima malaria, pregnancy,etc.
Majibu yakaja kwamba ana mimba ya mwezi m1, kwa kweli kila mmoja wetu akatabasamu hasa mie ukizingatia ni uthibitisho wa ulijari wangu na kumhaidi kwamba ndiye mke wangu wa maisha. Cha kushangaza sana jana kaniambia kwamba anajiandaa kuitoa hiyo mimba coz hakuwa tayari kubeba mimba kwa sasa kwani malengo yake bado hayajatimia, kaenda kwa daktari kamwambia aende jumatano wakafanye hiyo kitu.
Nimejaribu kumshauri asiitoe mimba yangu, hajui mungu kampangia nini juu ya uzazi wake hataki, kasimamia msimamo wake wa kuitoa.
Swali langu kwenu, Je nitaweza kupata msaada wa kisheria kama atatoa mimba hii bila ridhaa yangu?
Ushauri wenu pia.