She wants to Abort..!!!?

She wants to Abort..!!!?

kk mimba iwe yako au sio yako unachotakiwa kwa sasa ni kutetea uhai in whatever way kwa kumconvice au hata kuchukua legal action ,ikikushinda kuna prolife activists waone watakusaidia,sijui kwanini mtu akitaja abortion moyo wangu hustuka sana,i hate abortion japo some girl wanasema ungekuwa mtt wa kike usingechukia kihivyo.sijui walimaanisha nini?
 
Msaada ndugu zanguni niko cross road mwenzenu.

Tumedumu na mpenzi wangu kwa takribani miezi 9, tukaaminiana, tukapendana na kufanya kila kitu pamoja. August 25 akaniambia anajisikia kuumwa sana tumbo na uchovu mwili mzma. Nikamshauri twende hosptl kupima malaria, pregnancy,etc.

Nimejaribu kumshauri asiitoe mimba yangu, hajui mungu kampangia nini juu ya uzazi wake hataki, kasimamia msimamo wake wa kuitoa. Majibu yakaja kwamba ana mimba ya mwezi m1, kwa kweli kila mmoja wetu akatabasamu hasa mie ukizingatia ni uthibitisho wa ulijari wangu na kumhaidi kwamba ndiye mke wangu wa maisha. Cha kushangaza sana jana kaniambia kwamba anajiandaa kuitoa hiyo mimba coz hakuwa tayari kubeba mimba kwa sasa kwani malengo yake bado hayajatimia, kaenda kwa daktari kamwambia aende jumatano wakafanye hiyo kitu.

Swali langu kwenu, Je nitaweza kupata msaada wa kisheria kama atatoa mimba hii bila ridhaa yangu?

Ushauri wenu pia.

Uwezekano wa kumshitaki upo Mkuu sababu kuu 3
1. Sheria za nchi haziruhusu kutoa mimba-ni kosa la Jinai
2. Hakuna sheria au ni kinyume na ethics za madaktari kutoa mimba kama hakuna uthibitisho wa kutosha kuwa kuendelea kuwepo kwa mimba kunahatarisha maisha ya mama au kiumbe atakayezaliwa ana malformations ambazo hazitamwezesha kuishi. Pia kama kutoa mimba for medical reasons basi ni lazima jopo la madaktari wasiopungua watatu wakubaliane juu ya umuhimu wa kuitoa mimba hiyo.
3. Suala la Dini na mila -hakuna inayoruhusu kutoa mimba

ushauri
1. Kama unayo majibu ya pregnancy test is a good starting point utakapo amua kumshtaki huyo mdada -kama kielezo/ ushadi kuwa kweli alikuwa na mimba.

2. Fuatilia jina la daktari na hospitali/clinic atayoenda kutoa hiyo mimba-then daktari unaweza kumshtaki mahakamani au medical council of Tanganyika

Ila elewa huyo mdada si ridhiki, jipange sawa sawa
 
Ahasante kwa ushauri ndugu zangu. Ninachokiona mimi mwenyewd ni kwamba nahc kama anataka kuniaacha kwa mbinu hiyo, huenda kuna mwanaume mwenye mali, magari, etc kamdanganya anataka kumuoa solution kaona ni kuitoa mimba yangu ili awe huru na mambo yao.
Mimi msimamo wangu nimemwambia kama atafanya hivyo nampeleka mahakamani tukakutane huko. Na nitahakikisha yeye, wazazi wake, huyo daktari na yeyote atakayehusika na kitendo hicho ataonja mkono wa sheria.
Kwa kweli nampenda sana na hiyo ni mimba yangu ya kwanza kumpa mwanamke tangu nije hapa duniani halafu yeye anataka kuniulia mwanangu bila sababu.
i can imagine unapita kwenye wakati gani!pole sana !lakini usibaki kulalamika,komaa onyesha msimamo,tetea uhai wa mtoto wako!
 
Maumivu ninayopata ni makubwa sana kuhusu suala hili. Mwenzangu kashikilia msimamo wake kwamba anatoa mimba na yupo radhi kufa ama kufungwa.
Nikimuuliza sbb haswa ni nn anadai kaamua hivyo coz hayupo tayari kubeba mimba kwa sasa.
Vyeti vya hosptl anavyo kwao mie kaniacha soremba nimemwambia kesho jioni tuonane kwanza hataki kabisaaaa.
Oooh My Lord save this innocent baby whom I am fighting not to be destroyed.
 
Maumivu ninayopata ni makubwa sana kuhusu suala hili. Mwenzangu kashikilia msimamo wake kwamba anatoa mimba na yupo radhi kufa ama kufungwa.
Nikimuuliza sbb haswa ni nn anadai kaamua hivyo coz hayupo tayari kubeba mimba kwa sasa.
Vyeti vya hosptl anavyo kwao mie kaniacha soremba nimemwambia kesho jioni tuonane kwanza hataki kabisaaaa.
Oooh My Lord save this innocent baby whom I am fighting not to be destroyed.

so sad! pambana
 
mungu atamhukumu awe makkini sana kwa sababu utaalamu wa kisayansi unaonesha kwamba wasichana wanaofanya abortion kuna uwezekano mkubwa wa kutopata mtoto pindi wanapohitaji ni bora akavumilia azae huyo mtoto
 
Abortion ni criminal offence, alipokuwa anakula pipi bila karatasi alitegemea nn?
 
Msaada ndugu zanguni niko cross road mwenzenu.

Tumedumu na mpenzi wangu kwa takribani miezi 9, tukaaminiana, tukapendana na kufanya kila kitu pamoja. August 25 akaniambia anajisikia kuumwa sana tumbo na uchovu mwili mzma. Nikamshauri twende hosptl kupima malaria, pregnancy,etc.

Majibu yakaja kwamba ana mimba ya mwezi m1, kwa kweli kila mmoja wetu akatabasamu hasa mie ukizingatia ni uthibitisho wa ulijari wangu na kumhaidi kwamba ndiye mke wangu wa maisha. Cha kushangaza sana jana kaniambia kwamba anajiandaa kuitoa hiyo mimba coz hakuwa tayari kubeba mimba kwa sasa kwani malengo yake bado hayajatimia, kaenda kwa daktari kamwambia aende jumatano wakafanye hiyo kitu.

Nimejaribu kumshauri asiitoe mimba yangu, hajui mungu kampangia nini juu ya uzazi wake hataki, kasimamia msimamo wake wa kuitoa.

Swali langu kwenu, Je nitaweza kupata msaada wa kisheria kama atatoa mimba hii bila ridhaa yangu?

Ushauri wenu pia.

Huyo mwanamke hakupendi. Na kwake uko accidentally tu. Ni malengo gan hajatimiza? Walio vyuo wanapata mimba na wanajifungua wanaish mtaani na watoto na masomo wanasoma halafu yeye anasemaje? Huyo n changudoa tu ambaye hataki responsibilties na wala hataki kuolewa na wewe. Akitoa hiyo mimba chapa lapa mkuu.
 
Naomba tena kuuliza ndugu zangu:
Kwa hapo eti nani mwenye hiyo mimba YEYE au MIMI??
Nani mwenye maamuzi na hiyo mimba yeye au mimi?

Naomba nijaribu kujibu maswali yako hivi:-
1. Mimba ni yenu wote, hamna mmiliki halali wa hiyo mimba. Sababu bila ya mbegu (shahawa) yai lake lisingekuwa mimba pekee.
2. Maamuzi ni yenu wote ila sababu ipo tumboni mwake ndio maana anaamua kukukomoa kwa kutaka kuitoa hiyo mimba ingawa si halali.
 
Updates..!

Wakuu najitokeza tena kwa mara ya pili.
Huyu mpenzi wangu baada ya kutoa mimba akaja kuniomba radhi in fact kwa kuwa nampenda sana nikamsamehe tukaendelea na uhusiano wetu.
Mwezi huu akawa anajisikia tumbo kuuma na ikapita siku tatu bila kuona MP nikamwambia nenda kapime urine majibu yakawa positive (ana mimba) nikamwambia kwa sasa itabidi tu uzae kwani muda ushafika na tumejipanga kuishi kama mke na mume.
Mwenzangu kawa mkali anadai anatoa hiyo mimba muda wa kuzaa bado.
Jana tumegombana sana mpaka kufikia yeye kuvunja vunja vyombo na anasema kama sitaki kuitoa hiyo mimba atafanya kama ile ya kwanza.
Nimemuuliza hv we mwanamke hujihurumii afya yako, hii ni mimba ya pili unaitoa ukiwa na mimi, je previous umetoa ngapi?
Ushauri wenu tena wakuu.
 
Updates..!

Wakuu najitokeza tena kwa mara ya pili.
Huyu mpenzi wangu baada ya kutoa mimba akaja kuniomba radhi in fact kwa kuwa nampenda sana nikamsamehe tukaendelea na uhusiano wetu.
Mwezi huu akawa anajisikia tumbo kuuma na ikapita siku tatu bila kuona MP nikamwambia nenda kapime urine majibu yakawa positive (ana mimba) nikamwambia kwa sasa itabidi tu uzae kwani muda ushafika na tumejipanga kuishi kama mke na mume.
Mwenzangu kawa mkali anadai anatoa hiyo mimba muda wa kuzaa bado.
Jana tumegombana sana mpaka kufikia yeye kuvunja vunja vyombo na anasema kama sitaki kuitoa hiyo mimba atafanya kama ile ya kwanza.
Nimemuuliza hv we mwanamke hujihurumii afya yako, hii ni mimba ya pili unaitoa ukiwa na mimi, je previous umetoa ngapi?
Ushauri wenu tena wakuu.

Duh! Nakupa pole. Wala sina la kusema zaidi.
 
Updates..!

Wakuu najitokeza tena kwa mara ya pili.
Huyu mpenzi wangu baada ya kutoa mimba akaja kuniomba radhi in fact kwa kuwa nampenda sana nikamsamehe tukaendelea na uhusiano wetu.
Mwezi huu akawa anajisikia tumbo kuuma na ikapita siku tatu bila kuona MP nikamwambia nenda kapime urine majibu yakawa positive (ana mimba) nikamwambia kwa sasa itabidi tu uzae kwani muda ushafika na tumejipanga kuishi kama mke na mume.
Mwenzangu kawa mkali anadai anatoa hiyo mimba muda wa kuzaa bado.
Jana tumegombana sana mpaka kufikia yeye kuvunja vunja vyombo na anasema kama sitaki kuitoa hiyo mimba atafanya kama ile ya kwanza.
Nimemuuliza hv we mwanamke hujihurumii afya yako, hii ni mimba ya pili unaitoa ukiwa na mimi, je previous umetoa ngapi?
Ushauri wenu tena wakuu.

achana na huyo mwanamke hakufai tena mwambie live akichoropoa tu kila mtu atafute ustaarabu wake
 
Mmeshapima ngoma?maana inawezekana ni victim na anajijua
 
Kayoka, kuna scenario kama mbili tatu hivi: mimi si palm reader, lakini nina hakina msichana huyu ni baa medi, au ni msichana anafanya kazi katika ofisi fulani anatumia ninihii yake kama duka. Mimba itaharibu duka lake, kwa hiyo njia ya kuokoa duka hilo ni kuitoa hiyo mimba.

pili, inawezekana si kama hivyo hapo juu. mimba ipo kweli, ila kaamua tu hakutaki. Kapata bwana bora kuliko wewe, kifedha, kiumri, kisura, au vinginevyo. Anataka ajipresent kule kwingine kama hana kitu tumboni.

Tatu, inawezekana kabisa mimba hakuna. yote hiyo fix tupu hapo. anataka umpatie hiyo laki moja mbili hivi akafanyie mambo anayoyajua yeye.

Mwisho. Scene one hadi three zinaelekeza uachane naye. Fanya chochote kile lakini malengo yawe ni hayo. Hakufai!


Msaada ndugu zanguni niko cross road mwenzenu.

Tumedumu na mpenzi wangu kwa takribani miezi 9, tukaaminiana, tukapendana na kufanya kila kitu pamoja. August 25 akaniambia anajisikia kuumwa sana tumbo na uchovu mwili mzma. Nikamshauri twende hosptl kupima malaria, pregnancy,etc.

Majibu yakaja kwamba ana mimba ya mwezi m1, kwa kweli kila mmoja wetu akatabasamu hasa mie ukizingatia ni uthibitisho wa ulijari wangu na kumhaidi kwamba ndiye mke wangu wa maisha. Cha kushangaza sana jana kaniambia kwamba anajiandaa kuitoa hiyo mimba coz hakuwa tayari kubeba mimba kwa sasa kwani malengo yake bado hayajatimia, kaenda kwa daktari kamwambia aende jumatano wakafanye hiyo kitu.

Nimejaribu kumshauri asiitoe mimba yangu, hajui mungu kampangia nini juu ya uzazi wake hataki, kasimamia msimamo wake wa kuitoa.

Swali langu kwenu, Je nitaweza kupata msaada wa kisheria kama atatoa mimba hii bila ridhaa yangu?

Ushauri wenu pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom