She says she is Unhappy!

mwanamke anasema she is unhappy, anasema simsikilizili na si msupport vya kutosha...


...nimejaribu kuzungumza nae kwa umakini lakini majibu yake ni kwamba hata yeye haelewi kwanini anafeel down all the time...na wasiwasi labda mimi sio tatizo...ushauri please! 1

...hapo ndipo tofauti ya wanawake na wanaume inapoanzia...MISINTEPRETATION.

Mamsap wako emotional support. Lazima anasumbuliwa na compassion fatigue/emotional drained baada ya kukupa mapenzi yake yote katika miaka hiyo yote mliokaa pamoja na sasa kama ulivyosema, amnaanza kufikiria ndoa!

Huu ni wakati wako ku recharge battery zake upya. Mpe mahaba motomoto kama awali ulipokuwa unamuweka kwenye himaya yako. Mkumbatie na kumsikiliza kilio chake, ongea nae kwa upole, msikilize... hata kama hana la kusema kumkumbatia tu ni ishara tosha kumuonyesha upo naye kimwili... Kuwa naye karibu, mhakikishie upo kwa ajili yake wakati wowote...

Emotional happy spouse completes the happiness circle.
 
Been a while since i last posted anything up in here, but here goes. Karibuni nimekuwa nikilumbana na waifu.. Tumekuwa pamoja zaidi ya miaka mitano sasa lakini hatuja uoana kwasababu mbalimbali mostly career oriented! Nashukuru mwenyezi mungu kwamba tumebahatika kuishi maisha mazuri , safiri nchi mbali mbali duniani etc lakini mwanamke anasema she is unhappy, anasema simsikilizili na si msupport vya kutosha...tulipoanza nilikuwa sijatulia na nilicheza cheza na wanawake mbalimbali but for the last 4yrs i have been faithful and loyal na nimeimarisha nyumba! Lakini yeye bado analalamika and cant seem to let the past be the past etc..yeye pia ameshanifanyia mambo ya ajabu lakini im more willing to forgive and move on...nahitaji ushauri...kwa mtu in my position saizi ambaye namipango ya ndoa nifanyaje sasa...coz naona kama mwanamke is going through a crisis..nimejaribu kuzungumza nae kwa umakini lakini majibu yake ni kwamba hata yeye haelewi kwanini anafeel down all the time...na wasiwasi labda mimi sio tatizo...ushauri please! 1

mi nafikiri zungumza nae kuwa muachane kwa mda ili mpeane nafasi ya kutafakari.....hisia zenu.....halafu kama ni wako mtarudiana na kufunga ndoa....kama sio wako basi achaneni kistaarabu...
 
Back
Top Bottom