yeye anatka kijana mtanashati mwenye uwezo wa kuhudumia familia..................asema ni kweli kamchezo amekafanya sana lakini sasa maejirekebisha kwa hiyo vijana wasimtupie kapu lake........lol.......................asema yeye hachagui kati ya mlokole au la......................wote sawa tu kwake....................tatizo juzijuzi nimemwona yuko pregnant....sasa sijui waht is happening now..........................nilishindwa kumwuuliza......................i thought that matter was too personal to her................................so I did not want to embarrass her........
Hapo kwanye blue ni kweli kbs ,wanaume nao huwa wanaangalia huyu ni nimemgusia swala la sex tu mara moja tu keshanivulia nguo lazima atakujudge vibaya, cha msingi kama atafanikiwa kupata mtu ampe muda wa hata mwaka hivi bila kufanya naye sex, mie naaamini kama mtu kampenda kweli atamvumilia lakini kama ni walewale hit and run atamjua mapema tu!
what?
Ungejua damu yangu ni vere old.
Hata usingesema.
Ila kama vipi, mpe anuani yangu.
Nina kiwanda cha vijana hapa home.
AshaDii........................ameshauri lakini kwa kuamsha udadisi tu.................be specific ungelikuwa ni wewe hapo ungelifanyaje?
yawezekana kuwa usemayo ni kweli sasa afanyaje aache kuwa anti-social naye ampate wandani wake wa milele.............she is really bored........
ani pm kuna mtu anataka nisaidiane nae kusukuma gurudumu la maendeleo na mimi sitaki
Ningetafuta blind dates with same interest as mine through close friends and relatives i trust. Anything could work out from there probably..
inategemeana kama atakuwa mzuri kama ww ili huyo anaekutaka amkubali
kwani kajipregnant mwenyewe.
ajaribu kwenda out mara kwa mara na marafiki zake with time atapata mtu sahihi kwake.Ajitahidi kuwa mchangamfu
Labda akacheki kwnza afya yke thn ndo arejee jf atujulishe mana'ke alkuwa foward mzur sana!
Nyumba ndogo vipi ?.
Eh! Hapa umeniacha kwenye mataa......................yaani mkate wake autafute ndani ya wingu la kuibiaibia tu.......yey ataka wa kwake siyo wa namna hiyo.........................
Mkuu Ruta,
Lazima awe option zaidi ya moja kama yuko serious.
kwenye hao wa chap chap kuna mmoja ataamua kubaki for gud.. she must keep going
yeye anatka kijana mtanashati mwenye uwezo wa kuhudumia familia..................asema ni kweli kamchezo amekafanya sana lakini sasa maejirekebisha kwa hiyo vijana wasimtupie kapu lake........lol.......................asema yeye hachagui kati ya mlokole au la......................wote sawa tu kwake....................tatizo juzijuzi nimemwona yuko pregnant....sasa sijui waht is happening now..........................nilishindwa kumwuuliza......................i thought that matter was too personal to her................................so I did not want to embarrass her........
Ruta naona nimpe ushauri kidogo
Kusema kweli amejirahisi sana
Na wanaume washajua ni wa chapuchapu hit and run
Na inabidi afanye kazi ya ziada kuiondoa hiyo dhana ya yeye kuwa wa chapu chapu
wanaume tuna tabia moja japo unaweza kuiita umbeya ila ndo ilivyo. Tunaambiana vitu ambavyo hatukupaswa kuvisema
Na wanaume waliopita kw ahuyo dada wameshaambiana na wanaendelea kutoa siri zake kuwa yule ni wa chapuchapu sio wa kujenga kibanda
Aondoe hiyo dhana ya kuwa kila anayekuja kwake ana uwezo tena wa haraka kumvulia nguo na kumpata
la sivyo upweke utazidi kumuandama kwa muda mrefu
Miongoni mwa hao wa chapuchapu anaweza pata mmoja atulie nae