She is not special

Classes na levels zipo kwenye maisha. Kuna wanawake tutawaangalia tu, ila hatuwezi kuwapata.

Likewise, kuna wadada wanatamani wanaume fulani ila hawawezi kuwapata.

Classes zikiwa tofauti, hata kuwafikia tu ni mtihani.

Mental judgement tu, hao unaowana hivyo wavutie wire, kiti au jikaze uombe na ufanye mfululizo uone kama kuna klass yoyote! Kutowapata ndio access yenyewe, kama unaweza kumfikia alipo unaweza kumvua tu bila shaka kidume
 
M

Mbona Huku Kuna msafisha Banda la kuku anamtomba na kumfira mke wa tajiri hadi wanarekodiana, Tena huyo mke wa tajiri na yeye ni boss kwenye kampuni flani anatembelea v8 anaishi ghorofani na ghorofa ni yao
Inawezekana pia, lakini inategemeana na mtu mwenyewe kama yeye anaona huyo msafisha banda yupo level yake ya mahusiano anayotaka ni sawa.
Level ya mahusiano ya mtu inategemeana na mtazamo wake binafsi.
 
Classes na levels zipo kwenye maisha. Kuna wanawake tutawaangalia tu, ila hatuwezi kuwapata.
Tatizo mnaangalia classes tu ila hamuongelei hisia, upendo na kuvutiwa na mtu.

Ukweli hatuoi na kuolewa na status au level fulani

Hata binti mwenye level fulani naye anapenda na hawezi tu kusukumiwa mwanaume wa class yake amkubali eti kisa tu status zao zinafanana.

Kuna vitu vinaweza kumvutia kutoka kwa mwanaume wa level ya chini na yake na wakafanya maisha

Na hata kama ameamua kufanya maisha na wa class yake ni vile yeye pia kavutiwa naye kwanza sio level wa classes
 
makaveli10 alikuwa sahihi kbsa.
Kuna wanawake Wana viwango vya juu Sana, yaani anakuzidi mpaka elimu na mengine yote ikiwemo na hela

Kila mwanaume hutongoza mwanamke wa level yake and vice versa.
Bilionea Rihanna alitoka na bilionea wa Saudi Arabia Jameel na Drake ukiangalia wote wana level kubwa kama yake

Mwisho wa siku kafanya maisha na A$AP Rocky demu kafa kaoza kwa muhuni na kamzalia watoto
 
Suala la kutongozana halina mazingira, Malia Obama pamoja alikuwa na ulinzi mkubwa akiwa first daughter jamaa aliyetoka naye alikuwa ni mshikaji tu kutoka ordinary family na akamfundisha kuvuta bangi. Mifano ni mingi
Huo mfano wako unatokana na mazingira yaliyowakutanisha hao watu.
 
Umefafanua vizuri, asipokuelewa hapa, basi tena.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Bilionea Rihanna alitoka na bilionea wa Saudi Arabia Jameel na Drake ukiangalia wote wana level kubwa kama yake

Mwisho wa siku kafanya maisha na A$AP Rocky demu kafa kaoza kwa muhuni na kamzalia watoto
Huoni ASAP na RIRI wana access ya kufikiana mda wote? Couz wote ni wasanii??

Huyo Asap angekua lofa wa kitaa cha tringdad angempata wapi Ex Wa Breezy na Drake?
 
N kweli Bwashe, Huku Uswahilini mtu anaingia kwako anaiba ndala za chooni πŸ˜‚
Umenikumbusha mbali nilikaa na waswahili wa bagamoyo , ni mwendo wa shanga na vikuku , wanajipitisha utasikia "mangi sio vizuri kujipikia mwenyewe " na mimi naishia kuwajibu hata sina hela, wanacheka tuπŸ˜…
 
Umenikumbusha mbali nilikaa na waswahili wa bagamoyo , ni mwendo wa shanga na vikuku , wanajipitisha utasikia "mangi sio vizuri kujipikia mwenyewe " na mimi naishia kuwajibu hata sina hela, wanacheka tuπŸ˜…
Ukaogopa kula chakula kilichopikwa na waswahili mana ungekula mpikaji Na kipikwaji πŸ˜‚
 
Huoni ASAP na RIRI wana access ya kufikiana mda wote? Couz wote ni wasanii??

Huyo Asap angekua lofa wa kitaa cha tringdad angempata wapi Ex Wa Breezy na Drake?
Talking of levels and classes

A$AP ni lofa tu ukimlinganisha na wajuba wote aliopita nao RiRi ukianzia kwa Breezy, Drake, Hamilton, Jameel, DiCaprio

A$AP ni B list rapper with a criminal record RiRi ni global superstar mbingu na ardhi

Love isn’t about status it’s about who she truly desires
 
πŸ€”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…