uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 8,292
- 11,786
- Thread starter
- #81
Bibie ana wasiwasi tu huyu.Mimi nampa braza marks zote kwasababu moja tu,kitendo cha yeye kukataa ujauzito usitolewe.That proves kuwa mkuu ni mtu mzuri moyoni achilia mbali kwamba alisaliti.
kweli mkuu na asante kwa ushauri wako mzuri.
ila nilisaliti pasipokukusudia.
huyu dada alikuwa kashakataa na kusema mimi na yeye basi..
impact ya ile rejection ndiyo ikasababisha haya yote.