She is here now, I need her back

Mbona unaandika vitu irrelevant...

Unafahamu utaratibu wa barua ya posa wewe?

sasa ukitishiwa nyau na wewe ndo unaogopa???? wewe peleka barua moja kwa moja kwa wazazi wake hapo ndo utajua kama yuko tayari kuwa na wewe au lah
usikute anakutishia ili uharakishe mambo
 
Miaka imepita

miaka imepita si michache

Je huyo binti anakupenda bado?
kwenye juu ya kunipenda huwa hapendi kuwa muwazi sana,
ila mimi nampenda kweli.
nashindwa kuzielewa hisia zake moja kwa moja coz kuna siku hata yeye mwenyewe anaweza kunipigia simu.
na nimewahi pia kuonana nae, recently ila aligoma kabisa hata kubusiwa na mimi..
Isije kuwa mwanaume una 'illusions' za first love
hapana mkuu what i feel is not an illusions..
its true feelings.
Je binti hana mtu?
huwa ananiambia mara nyingi kuwa anamtu, na mwaka jana mwezi wa 8 aliniambia kuwa alikuwa kwenye mpango wakuolewa, ila nilipochunguza nikagundua kuwa alikuwa akinirusha roho tu..
Maana usitegemee miaka yote yeye chake akawa kakihifadhi tu ilhali ana uhitaji
katika story za kawaida aliwahi kujisahau na akaniambia kuwa hajawahi tena kufanya mapenzi na yeyote.(hili siliamini sana)
Je binti unadhani huyu mwanaume ndo wa ndoto yako? Ana vigezo unavyovitaka?je binti anaweza kuwaza kuwa na wewe miaka 20 mbele katika hali zote? ( namuuliza binti maana mwanaume ushakata shauri)
good question nadhani atakuja kulijibu mwenyewe...




Sent from my iPhone using JamiiForums[/QUOTE]
 
Ukiangalia hii story inaukweli kabisa kozi matukio ayanajieleza kabisa,

mkuu i wish angekuja mwenyewe hapa, akadhibitisha maandishi yangu
na ninaamini atakuja coz nitamwekea link ya huu uzi
 
miss neddy, hivi unadhani kuandika barua ni ishu rahisi?
kwanza si mtoto tena,
tumekuwa sasa. najitegemea na yeye anajitegemea.
hiyo barua unaipelekaje wakati ye hakai tena kwao?

mhhhhhhhhh najua sio issue rahisi lakini hii mbinu yaweza kusaidia binti aone unamaanisha kidhamira atiii
sio lazima siku ya kupeleka binti awe home we unatuma wazee tu
na kama ikikataliwa ujue huna nafasi moyoni mwake yakupasa usonge mbele
 
mhhhhhhhhh najua sio issue rahisi lakini hii mbinu yaweza kusaidia binti aone unamaanisha kidhamira atiii
sio lazima siku ya kupeleka binti awe home we unatuma wazee tu
na kama ikikataliwa ujue huna nafasi moyoni mwake yakupasa usonge mbele

nawafahamu vyema wazee wakichaga miss, i know them very well
si wakuendea kwa njia hii afu ishu hapa ni sisi wawili kukubaliana tu.
 
nawafahamu vyema wazee wakichaga miss, i know them very well
si wakuendea kwa njia hii afu ishu hapa ni sisi wawili kukubaliana tu.

basi jitahidi kumbembeleza mkubaliane na usilazimishe ukiona maji yamekuzidi kimo
 
Yaliyopita si ndwele gangeni yajayo...bi dada poleh na maumivu ila nashauri chukua mume uyo ,ila pia uran kisa cha kumsaliti ur girl ni kipii,af unamjulisha kabisa kuwa uli;msaliti na chanzo ni yeye,km ukitenda hivo tena usimwambie.inauma
 
Mimi nadhani usonge mbele tu fanya maisha mengine kama ilipita imepita!!! Hujui kapitia mangapi na moyo wake umepata kutu kiasi gani!!! Usipende kurudi nyuma maana m sure kuna someone there someone u never met unampenda na anakupenda sana....jitahidi kusonga mbele...huyo mwanamke hawezi kukupenda tena kama zamani !! Usitake kuja kuumiza moyo wako bure...

Na je ni vipi kwa yule aliyekuzalia?? Ushamuacha?? Humpendi hata tonE ni vipi kwa mtoto wenu??

Fikiri mara kumi kabla ya kutenda...huyo mdaDa mwAche aende zake....
 
Ndoa ni baraka bidada jitokeze binadamu hukosea na kusamehewa,kijana anataka ndoa cz anakupenda na makosa kwa biinadamu ni kawaida, yameshapita msamehe muanze upya
 
Mi nakupongeza kwa kuwa mkweli na kukomaa mtoto azaliwe.
Kama mhusika amepita hapa pamoja na kwamba anaijua hii story nafikiri ni wakati wake kuweka bayana yaliyo moyoni kwake kama ni wewe au la ili ujue unaendeleaje na mambo yako.

Dada unayependwa funguka.
 
Back
Top Bottom