Mkuu hiyo baa inaitwa Mlima Pub na sio Mlima wa Moto.
Hatareeeee...mkuu unakunywa bia huku toto linakuzungushia mzigo mbele yako kufuatisha mdundo wa muziki.
Ni kweli mkuu wamezoea kuiita hivyo lakini pale nje bango linasomeka Mlima Pub. Ijumaa nitakwenda tena, nitapiga picha bango lake pale nyuma ya kijana muuza chipsi halafu nikutumie.Acha Ubishi Mkuu Hiyo Baa Hapo Kawe Nzima Inasifika Na Kujulikana Kwa Jina Hilo La Mlima Wa Moto Na Wanajeshi Wengi Wa JWTZ Ndiyo Wateja Wakubwa Wa Hapo Huku Wakijiliwaza Na Yaliyowakuta Amboni Tanga.
Ni kweli mkuu wamezoea kuiita hivyo lakini pale nje bango linasomeka Mlima Pub. Ijumaa nitakwenda tena, nitapiga picha bango lake pale nyuma ya kijana muuza chipsi halafu nikutumie.
Hahahaaaaaaaa....mkuu umeshawekeza kabisa? Anyway salamu zimefika lakini akiniuliza jina la sender...Powa Kijana Ila Si Utapiga Na Show Angalau Moja Na Huyo Mnyiramba Lilian Mwenye Macho Ya Uwizi Na Wowowo La Uhakika? Msalimie!
Hahahaaaaaaaa....mkuu umeshawekeza kabisa? Anyway salamu zimefika lakini akiniuliza jina la sender...
Ngoja nimshawishi na Mnyiramba naye ajiunge JF.Mwambie Ni Baloteli au Suarez au Diego Costa WaJF!
Ngoja nimshawishi na Mnyiramba naye ajiunge JF.
Nasikia kazi yake ni mlinzi ni kweli?
Msosi wake ni ugali dsgaa na nyanya chungu kwa mama ntilie, pia hana simu alivyoweka masikioni mkwara tu
Mbona humu JF me na ke zinakulana kama kawaida?Na Uroda Wake Atatugawia Saa Ngapi?
Kwakweli kurithi kipwaji itakuwa ngumu labda ajitokeze mwingine wa kurithi kipaji.
Huyu mshikaji anamikogo hatari..maskani yake ni pale Sinza makaburini..
Kweli huyu jamaa alikuwa akisaka fursa.Leo nimemwona kwenye tangazo la airTel kaanza kula shavu hahahahahhapo anatafuta fursa..
amweshausoma mchezo..
kwani nani atamami kulamba mapesa kama kina diamond..
sasa hivi kuna tv itajichanganya kumpa kipindi..
after few months tunamuona kwenye matangazo mara huyoo anatembelea prado na anajenga mbezi..
maisha mipango tu. kina sisi na degree zetu tunazunguka na bahasha tu