King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,603
- 68,511
- Thread starter
- #701
Yes ina miaka mitano humu tangu ianzishwe.Ah. Kumbe ni thread ya muda mrefu.
Yes ina miaka mitano humu tangu ianzishwe.Ah. Kumbe ni thread ya muda mrefu.
Lei ni siku ya kufa kwakeMbona mnatuchanganya na habari za zamani hizi
OK alifariki siku kama ya leo sio?Lei ni siku ya kufa kwake
Leo ni kumbukumbu ya kifo cha mshkaji!Mbona mnatuchanganya na habari za zamani hizi
Wanafukua makaburiMbona mnatuchanganya na habari za zamani hizi
Yes ina miaka mitano humu tangu ianzishwe.
Hahahaaaa Mvua Zinanyesha sana huku porini milimani na Jamaa wa Maliasili wanatumaindi sana na biashara ya mkaa imekuwa kama poda.Mkuu umepotea kimtindo,au ndio kukata mkaa kunakuweka busy? Just kidding.
Hahahaaaa Mvua Zinanyesha sana huku porini milimani na Jamaa wa Maliasili wanatumaindi sana na biashara ya mkaa imekuwa kama poda.
Jf hatari tupu!RIP Sharomillionea Siku hizi kuna kuna Mwenzako
"Billionea" Shika
Aisee weka habari za uhakikaNdugu wana jf sina hakika na hii habari but katika pitapita yangu mtaani nikaskia hizi habari ambazo sio rasmi,tunaomba wenye uhakika basi watujuze maana wasanii wetu ndo wanazidi kuisha,nawasilisha
Naona leo umeamua kuwakumbuka wafu. Umemsahau Ngwair.r.i.p sana mzee baba dah!
Naona leo umeamua kuwakumbuka wafu. Umemsahau Ngwair.
Punguza kubwatuka. Kila mtu ana maoni yake humu.Wakati mwingine basi uwe unaficha upumbavu wako unadhani kuongea sana ndio unaonekane mjanja wa JF, mijitu mingine bana...kwa hiyo wewe huwezi kufa...njia yetu sote kila mwanadamu kaumbiwa kifo. Wewe kila sehemu ushabiki wa vyama tu. Papuluioo!!