Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 22,454
- 32,980
Mna...Wewe jadili mambo ya maendeleo kila siku atas mara bibi titi
Kwanini majina ya wanawake wa pwani zamani lazima uweke neno Binti Mzee saidi?Mna...
Mke wa Shariff Abdallah Attas Bi. Chiku bint Said Kisusa ni kati ya wanawake watano waliomsindikiza Julius Nyerere Uwanja wa Ndege safari ya kwanza UNO February 1955.
Wengine ni Bibi Titi Mohamed, Mwamvita bint Mnyamani, Lucy Lameck na Tatu bint Mzee.
Sijui sababu yake.Kwanini majina ya wanawake wa pwani zamani lazima uweke neno Binti Mzee saidi?