WatesiWETU
Senior Member
- Jan 2, 2022
- 106
- 245
Hivi kwenye ujenzi wa nyumba kuna shortcut yoyote ya kusave gharama? Kama zipo ambazo technically hazina athari lets share.
Ngoja waje wataalamuHivi kwenye ujenzi wa nyumba kuna shortcut yoyote ya kusave gharama,kama zipo ambazo technically hazina athari lets share..
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kha mfuko mmoja tofali 50 hii balaaKatika ujenzi Kuna kuokoa pesa ndani ya maeneo tofauti
Mfano
1.Acha kujifanya unamnunulia fundi Hadi chepe ambalo yeye ni kitendea kazi chake
2.Acha kununua Mbao nyingi kwa kufanyia ngazi mafundi au wakati wa kujenga kozi za juu ..nunua chache na zingine Kodi wakati wa lenta ..muhimu nunua tofali za kutosha zitasaidia kupanga wakati wanajenga juu
Shukurani sana Kwa maelekezo na ushauri ubarikiweKatika ujenzi Kuna kuokoa pesa ndani ya maeneo tofauti
Mfano
1.Acha kujifanya unamnunulia fundi Hadi chepe ambalo yeye ni kitendea kazi chake
2
Uzi umeishia hapa.Katika ujenzi Kuna kuokoa pesa ndani ya maeneo tofauti
Mfano
1.Acha kujifanya unamnunulia fundi Hadi chepe ambalo yeye ni kitendea kazi chake
2.Acha kununua Mbao nyingi kwa kufanyia ngazi mafundi au wakati wa kujenga kozi za juu ..nunua chache na zingine Kodi wakati wa lenta ..muhimu nunua tofali za kutosha zitasaidia kupanga wakati wanajenga juu
And this is what I'm doing now. Hakika inasaidia sana kuokoa pesa na Kufanya kazi yako iende vile unatakaKatika ujenzi Kuna kuokoa pesa ndani ya maeneo tofauti
Mfano
1.Acha kujifanya unamnunulia fundi Hadi chepe ambalo yeye ni kitendea kazi chake
2.Acha kununua Mbao nyingi kwa kufanyia ngazi mafundi au wakati wa kujenga kozi za juu ..nunua chache na zingine Kodi wakati wa lenta ..muhimu nunua tofali za kutosha zitasaidia kupanga wakati wanajenga juu
3.Nunua pipa au tank ambalo litahufadhi maji badala ya kukodi kila siku maana ukikodi siku unaanza msingi gharama zake zinatosha kununua pipa lako..wengine huchimba shimo la kuingia pipa 2 au tatu na hapo huna aja ya kukodi Tena
4.Leta tofali za kutosha site na usiweke ubahuli maana mafundi kama imefika saa nane tofali hazipo hiyo siku inakula kwako
5.Acha kupatana na Dalali/asiye fundi maana yeye ataweka Cha juu kama una imani nae na hesabu unazijua mpe kazi ila jua Kuna pahala itakula kwako au kubali umlipe kusimamia na si ufundi..ufundi ulipe mhusika yeye asimamie
7.Kama una muda na una uelewa wa kazi za ujenzi lipa kwa Tofali kwa kazi kama ujenzi wa fence au kama ni kuinua Kuta za vyumba baada ya msingi
7.Andaa chakula kwa kazi unazotaka lisipotee hata lisaa na isikuume hiyo elf 20 au 15 ya chakula Cha mchana kwa kazi muhimu ya siku moja..tunafanyaga siku wanamwaga zege au tunataka msingi upigwe siku moja au mbili
8.kama huna ramani zungumza na fundi kinaga ubaga nini unataka maana ujenzi wa kimasikini unaleteleza kuvunja au kubadili mawazo pale upatapo vijiela na hii ni kujiingiza gharama pasipo kujua
9.Pata wauza malighafi ambao Wataweza kukuletea mzigo site kuokoa gharama za usafili japo kwa kiwango flani
10.Ondo Ujuzi kujifanya fundi kaniambia misumali nchi kadhaa na kuwa unaifahamu matokeo yake unaileta anaikataa..Nenda nae au akuandikie ndipo ufuate..Nashauli kwa vitu sensitive nenda nae
11.Fundi au kibarua anayetapanya udongo kuwa makini nae Kuna mafundi anajenga akitupa udongo ktk joint utaukuta ng'ambo ya pili na ukiukusanya ni kama nusu kalai ..Hawa ni wafujaji
12.Njia za umeme ziwekwe mapema na mtu wa plasta atanguliwe na wa mageti,madirisha na blandaling.
13.Acha kujenga robo robo zungumza na fundi mjenge kwa Phases mfano..msingi phase 1,Kozi ya kwanza Hadi 7 au kufikia lenta pahase nyingine ..lenta phase yake na baada ya lenta phase yake nk
14.Usimamizi....Huokoa upotevu kwa kiasi chake..tazama haya fundi kaomba mifuko 10 kwa kazi ya mifuko 8 utacheka ukikaa site
Kibarua wa kujaza kifusi kaweka nyasi chini ukamlipa baada ya mvua na kama ulishapaua utakuta shimo ulipe mtu ajaze udongo Tena
Linta Ina nondo 3 kutoka nne za makubaliano au ni mm'10 badala ya 12
Umetoa pesa kununua Mbao fundi kaenda kukodi mbao
Umeambiwa mfuko mmoja tunakushauli tutoe tofali 35 au 38 unafika site unakuta mfuko uliochanganywa umetoa tofali 50
Wamama wanadai tukimwagilia maji pipa 3
Nikomee hapa wataongezea wadau ila wenye pesa msisahu hili
"Usije jihusisha na ulipaji wa vibarua ingia mkataba na fundi vibarua atajua yeye Kuna watu wanapigwa ktk hii kitu"
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ndugu Watesi wetu, Kupunguza gharama za ujenzi wa nyumba, makanisa, warehouse nk tumia technology ya tofali za hydraform. hautajuta hata kidogoHivi kwenye ujenzi wa nyumba kuna shortcut yoyote ya kusave gharama,kama zipo ambazo technically hazina athari lets share.
Ikoje hii technology!?Ndugu Watesi wetu, Kupunguza gharama za ujenzi wa nyumba, makanisa, warehouse nk tumia technology ya tofali za hydraform. hautajuta hata kidogo
Kuna ubaya gani ukitumia namba yako ya simu PM mkuu?Nikomee hapa wataongezea wadau ila wenye pesa msisahu hili
"Usije jihusisha na ulipaji wa vibarua ingia mkataba na fundi vibarua atajua yeye Kuna watu wanapigwa ktk hii kitu"
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwanza hakikisha unasimamia ujenzi wako mwenyewe au Mke wako kama umeoa na awe serious na kazi utaokoa pesa nyingi.Hivi kwenye ujenzi wa nyumba kuna shortcut yoyote ya kusave gharama,kama zipo ambazo technically hazina athari lets share.