Shangwe laibuka baada ya Padri Kitima kutambulisha wanasiasa na viongozi wastaafu kwenye msiba wa Kardinali Pengo

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
2,439
Reaction score
6,692
Wakuu,

Nauliza tu

Kwanini hawa viongozi wastaafu walivyotambulisshwa shangwe limekuwa kubwa mno

Hapo Pinda, Warioba na Majaliwa walivyotambulishwa shangwe lilikuwa kubwa mno lakini alivyotajwa Nchimbi vibe halikuwa kubwa hivyo
 
Wakuu,

Nauliza tu

Kwanini hawa viongozi wastaafu walivyotambulisshwa shangwe limekuwa kubwa mno

Hapo Pinda, Warioba na Majaliwa walivyotambulishwa shangwe lilikuwa kubwa mno lakini alivyotajwa Nchimbi vibe halikuwa kubwa hivyo
nonsense,
hakuna haja ya ufahari msibani gentleman
 
Wakuu,

Nauliza tu

Kwanini hawa viongozi wastaafu walivyotambulisshwa shangwe limekuwa kubwa mno

Hapo Pinda, Warioba na Majaliwa walivyotambulishwa shangwe lilikuwa kubwa mno lakini alivyotajwa Nchimbi vibe halikuwa kubwa hivyo
Tuwekee hiyo clip tuone.
 
Wakuu,

Nauliza tu

Kwanini hawa viongozi wastaafu walivyotambulisshwa shangwe limekuwa kubwa mno

Hapo Pinda, Warioba na Majaliwa walivyotambulishwa shangwe lilikuwa kubwa mno lakini alivyotajwa Nchimbi vibe halikuwa kubwa hivyo
Utamshangilia Pinda kwa jambo gani hasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…