njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,664
- Thread starter
-
- #41
hayo maneno yamekuwa mtandaoni tangu juzi of course inajulikana ni propaganda za utopolo,wamewekeza sana huko kwenye media kuivuruga simba kwa maneno hayo,ukipitia comments za hapa kwenye huu uzi utagundua kwamba huyu mwanamama anahitaji hata ulinzi sasaSasa wewe ndugu yangu ndo umemtaja huyo CEO? Pisi kali ni nani? Chombo ya fundi maana yake ni nini? Fundi ni nani?
Hapa kisheria Efm hawaingii.... Ila wewe ndo unaweza ingina matatani kwa kuleta fasiri yako hiyo
kawasikilize p the mc & zaiid ndo wameelezea vizuriKuna sehemu nimeuliza humu JF. Pisi kali ni yupi? Nini maana yake?
Mo siyo CEO wa msimbazi.insaikitisha sana hayo mambo kupelekwa redioni kigogo kila siku twitter anaongea kuhusu DC fulani kwamba ni kina fulani lakini hawasemi redioni au wanaogopa?kuna mengine ni ya kuyaacha mtandaoni sababu mitandao ni vurugu kubwa kama kilabu cha pombe ila kwenye redio tena inayosikika mikoa mingi kuongea upuuzi kama huo?
YAANI CEO WA SIMBA ANAITWA PISI KALI CHOMBO YA FUNDI?(MO DEWJI) anyway fani yenyewe ya uandishi wa habari ishakuwa takataka siku hizi
Mimi ningependa kwa kuanzia unithibitishie kuwa CEO huyu aliteuliwa na Mo, halafu tutaendeleaTangu lini mwenye hisa 49 anateua CEO?
fungu limetoka kubwa sana ku demonise simba kwa kila hali kwenye media za makanjanja mmekula hela lakini kuweni na mipaka MTUNZIENI BARBRA HESHIMA YAKE KAMA MWANAMKE MSOMI, msitengeneze mazingira ya nchi hii kwamba Mwanamke ni malaya na hawezi kushika cheo kikubwa bila kulalwa.
naona unataka kunitoa kwenye reli siyo ACHENI KUDHALILISHA WANAWAKE,HAO EFM WANA USHAHIDI KWAMBA MKUDE KAMGONGA CEO WA SIMBA?
KAMA WANAUME KWELI WAONGELEE NA YA YULE DC SI WANACHUKUA MANENO MITANDAONI?
Sasa mkuu ni wapi wamemtaja huyo CEO wenuKuna issue ya mchezaji Jonas mkude kusimamishwa na team yake ya simba kwa utovu wa nidhamu, sababu haijatajwa hadi leo.
Lakini kama kawaida ya mambo ya mtandao kuna speculations ikawa inasema MKUDE ALIMTONGOZA CEO WA SIMBA aitwaye Barbra Gonzalez
Huwezi epuka maneno kama hayo mtandaoni lakini dakika 3 zilizopita kwenye kipindi cha sports headquarters amcho bado kipo hewani kina Francis mhando na imma kapanga wamefanya JAMBO LA KISHENZI SANA, naomba ninukuu.
"Nasikia Mkude kakitokea chombo cha fundi, si unajua ni pisi kali ile" aisee kwanza ni dharau sana kwa wanawake wanachokionyesha hawa jamaa sana kwa wanawake. Na hapo wakisema chombo cha fundi wanamaanisha Mo Dewji
Tunajua kuna kampeni kubwa sana ya kuivuruga Simba kupitia media na it is well organised, ila makanjanja kuweni na heshima, Barbra siyo pisi kali ni mwanamke msomi na mchapakazi
Ukisikia mfumo dume ndiyo huu sasa wa jamii yetu, Barbra Gonzalez haangaliwi usomi wake na uchapakazi wake anaangaliwa kama chombo cha starehe na urembo wake ndiyo unamponza zaidi.
Shame on you Efm sikutaraji kusikia ujinga huo redioni
FUMBO MFUMBIE MJINGA ushaona nimeanzisha uzi kulalamika maneno ya social media?nimesikitishwa sana na EFM mbaya zaidi aliyesema,IMMA katanga of course ni mtangazaji wa kipindi cha jioni walimwita ili kuelelezea mapenzi yake na yanga akwa anaikandia simba(huo ni ushabiki kawaida)ghfla kasema anapokea meseji za mashabiki wa yanga kwenye social media na simu wakitaka endelee kutupa. mawe (kuikandia simba)mara ghafla "INASEMEKANA MKUDE ALIFANYA VILE MAMBO. NA PISI KALI CHOMBO YA FUNDI"Sasa mkuu ni wapi wamemtaja huyo CEO wenu
afadhali kama uli notice hilo ndugu yangu,halafu wanamuita pisi kali huku wanacheka imeniuma sana namuonea huruma sana Barbra she is dedicated lakini. mazingira ya mfumo dume ni magumu sanaKusema ukweli nimesikitika sana nilipokuwa naskliza habari ya michezo EFM na nikajua kwanini serikali inataka kuanzia mwakani watangazaji wa radio wawe na taaluma ya kusomea, maana kama mtangazi kaenda shule lazima atajua ethics za kazi yake, Babra ana familia inamuheshimu na kama ambavyo sie tunaheshimu dada/shangazi/mama zetu
Kwa sababu za usimba na uyanga unafanya tuhararishe ujinga, kwakuwa hili limetokea Simba basi yanga wachekelee, mkude anajulikana kwa utovu wake wa nidhamu, sielewi hii hoja ya kumtaka CEO inatoka wapi, ila EFM wamekosea sana na wanapaswa kuomba radhi, haya mambo wangeacha mashabiki ndio wataniane, shame on them
Huko ni kujipendekeza jua huko Simba kuna watu wenye kuifahamu zaidi yako na wana maslahi makubwa na Simba kuliko ww.sababu sijui kisa nisilalamikie udhalilishaji huu in other words unaniambia kwamba kisa ni mkude kula fundi ya chombo kama walivyosema Efm?
This is really a bad kwa attitude hii kuna siku yule dada wa watu (Barbra)atakuja kufanyiwa udjalilishaji mkubwa sana hadharani na najua nusu ya nchi italipuka kwa shangwe sababu ni itikadi tofauti ya ushabiki, yangu macho
nazungumzia udhalilishaji siyo hayo
bro namuongelea Barbra siadhani kama dada yako akidhalilishwa utafurahia..itukaneni simba mnavyotaka hata mkitaka kachomeni jengo moto lakini dada wa watu kumdhalilisha kwenye platform kama Efm ni very wrongHuko ni kujipendekeza jua huko Simba kuna watu wenye kuifahamu zaidi yako na wana maslahi makubwa na Simba kuliko ww.
narudia tena fumbo mfumbie mjinga,hayo maneno yapo sana mtandaoni unaona ni sawa EFM kutumika kama platform ya kuongelea hiyo issue?Kumbe huyo PISI KALI anezungumzwa huku mtaani ndo huyo Babra? Au hapo kwenye kipindi walimtaja Jina?
naona unataka kunitoa kwenye reli siyo ACHENI KUDHALILISHA WANAWAKE,HAO EFM WANA USHAHIDI KWAMBA MKUDE KAMGONGA CEO WA SIMBA?
KAMA WANAUME KWELI WAONGELEE NA YA YULE DC SI WANACHUKUA MANENO MITANDAONI?