njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
- Thread starter
- #41
hayo maneno yamekuwa mtandaoni tangu juzi of course inajulikana ni propaganda za utopolo,wamewekeza sana huko kwenye media kuivuruga simba kwa maneno hayo,ukipitia comments za hapa kwenye huu uzi utagundua kwamba huyu mwanamama anahitaji hata ulinzi sasaSasa wewe ndugu yangu ndo umemtaja huyo CEO? Pisi kali ni nani? Chombo ya fundi maana yake ni nini? Fundi ni nani?
Hapa kisheria Efm hawaingii.... Ila wewe ndo unaweza ingina matatani kwa kuleta fasiri yako hiyo
Hakuna mtu aliyesema washtakiwe lakini wenyewe kina Francis mhando wanajua wazi walikuwa wana incite upuuzi wakidhani wanaiumiza simba kumbe wanamdhalilisha dada wa watu
SHAME SHAME SHAME