Shambulio la ubalozi wa Marekani Tanzania na kijana wa Kizanzibar na niliyoyakuta Zanzibar

Kwa hiyo Zanzibar kunamyanya ya kusafirisha watu ili wajekuwa magaidi siyo? Basi hata kibiti nako,amboni,na kule mwanza.
Kipindi hicho mkuu kwa sasa serikali karibia zote duniani zililichukulia maanani suala la ugaidi ndiyo sababu hata utekaji wa ndege ni kama haupo tena. Angalia Kibiti hao watu kama wangepata sapoti ya makundi makubwa kama Alqaida unafikili Tanzania ingesalimika!?
 
Vijana weeeeeeeengi toka kijijini kwetu nikiwemo mimi tulienda Zanzibar kwa nyakati tofauti kusaka maisha wengine hadi leo wako huko. Waliokuwa wanarudi walitujulisha Ukifika Zanzibar nenda Uroa kwa mzee fulani utakuta wasukuma kibao wakifanya kazi za kulima na kusimamia mashamba na walikuwa na umoja wao wa kusaidiana endapo mmoja atapata matatizo. Nenda Dunga kaulize hii story na kama ni agent au imekugusa tafuta njia nyingine ya kupotosha
Uko sahihi wala sijaona ulipokosea nikawaida vijana wa sehem moja kuitana kwenye utafutaji
 
Vijana weeeeeeeengi toka kijijini kwetu nikiwemo mimi tulienda Zanzibar kwa nyakati tofauti kusaka maisha wengine hadi leo wako huko. Waliokuwa wanarudi walitujulisha Ukifika Zanzibar nenda Uroa kwa mzee fulani utakuta wasukuma kibao wakifanya kazi za kulima na kusimamia mashamba na walikuwa na umoja wao wa kusaidiana endapo mmoja atapata matatizo. Nenda Dunga kaulize hii story na kama ni agent au imekugusa tafuta njia nyingine ya kupotosha
Nitafute Njia ya kupotosha, mimi sijaleta story. Hata Dar vijana wengi walienda kwa nyakati tofauti, kutoka vijiji tofauti. na mpaka sasa Dar kuna watu kutoka mikoa tofauti na wilaya tofauti na vijiji tofauti. inawezekana kabisa ukaenda mkoa mwingine na ukakutana na mtu mlietoka nae kijiji kimoja ila angalia story yako inavyoendana na masula sensitive ya kuvutia na imejipanga vizuri, kijana alilipua yupo ?????? hapo hapo mafunzo ya kigani mapya ni wewe tena umekutana nayo, its an interesting story watu wanaisubiri endelea.

Mimi sijaku critisize (spelling) ila upo vizuri sana kwenye kuandika story, Muvi nyingi unazoziona zimechukua miaka mingi sana kuzidevelope na zinaanza kama story kama hii yako ( ubalozi wa marekani ulilipuliwa miaka 1998 miaka 20 imepita )

My friend mm Nakusifia maana you are Good.
 
Hii Habari ni 100% ni uwongo haswa, wewe ni mnafiq, muongo na kila tabia mbaya unayo.
Suali ni kuwa wewe ni raia mwema?
Inakuwaje raia mwema mtu akakupa Habari kama hiyo, ikisha usiiripoti ili kujua uhalisia WA hiyo agents, na wahusika wakajulikana n kueleza hizo habari za safari zao.
Umekaa kimya kusudi baada ya miaka uhadithie story yako ya kipumbavu, kijinga,
Kama ni kweli agents inafanya hivyo basi na wewe utakuwa umechangia kiasi kikubwa tatizo la kutowanusuru vijana. Sh.......
Nina hasira saivi, baaae
 
Kipindi hicho mkuu kwa sasa serikali karibia zote duniani zililichukulia maanani suala la ugaidi ndiyo sababu hata utekaji wa ndege ni kama haupo tena. Angalia Kibiti hao watu kama wangepata sapoti ya makundi makubwa kama Alqaida unafikili Tanzania ingesalimika!?
We bwana ebu acha hizo sasa. Na kibiti unajua kimbunga chake? wewe sio mtu wa kijijini bana, ( mwanza kijijini, Zanzibar, anaelewa kuhusu kibiti?.

Ila mkuu endelea maana nisiwe kikwazo na story yako. remember : Sometimes, to write better stories, you have to start by taking the pressure off and just writing. achana na mikwala yetu sisi ambao wagumu kuelewa.
endelea mkuu
 
mmmh hapa ukisoma mistari basi kuna utata.
kwanza: nikijaribu kuwaulizia viongozi wa umoja wa vijana wa Kisukuma waliokuwa maeneo ya Uroa. Yaani uende dar na uulize vijana wa usukumani au watu kutoka usukumani. ( inawezekana na ukawapata wengi sana )
penye utata: nakumbuka kipindi anatoka kijijini kuja Zanzibar huyu ndugu alihitimu tu darasa la saba kijijini kwetu........ yaani ulibahatika kukutana na mtu mliekuwa kijiji kimoja ( inawezekana ila sio kirahisi ki hivyo, mimi nimewahi kuishi uganda nikiwa nimetoka dar maeneo ya upanga. hapo ugana niliwakuta watanzania wengi ila sio wa maeneneo niliyotoa. niliwahi kuishi kenya na hata hapo kenya niikutana na watu wengi wa TZ ila hakuna niiekutananae na akatokea maeneo niiyokuwa naishi) sikatai kukutana na mtu wa kijijini kwenu ia cha kushangaza mtu huyohuyo anakuwa kwenye story unayotaka kuileta. kuna ile TV series inaitwa LOST no ilikuwa na mpangilio wa story yako.

Yaani na mpaka alielipua ubalozi wa marekani yupo kwenye stori yako.....

anyway endelea......
Mkuu ni jambo rahisi sana kukutana na watu wa mtaani kwako kama asili ya kabila lenu ni watafutaji,mwaka fulani nilienda kusini huko mpakani na Mozambique nikakutana na jamaa mmoja tutokako ni majirani mpaka nilishangaa.

Ni jambo la kawaida sana hili wala sio la kushangaza,kama wewe ulivyoenda Uganda pia kuna wengine nao walienda hivyo ungefanya jitihada kuwatafuta ungewapata tu.
 
Wakuu Hivi mmefuatilia uandishi wa huyu jamaa? Imeandikwa vizuri sana. anajua mahali pa kuweka comma, New paragraph, hakuna marudio marudio, hana matusi wala hajibu kwa matusi kama waleeee, mimi nimeipenda jinsi alivyoweza kuelezea memories na yaani inakuwa kama nilikuwepo hapo anapoeezea. inakufanya utake kusoma zaidi.

endelea mkuu ikisomwa vizuri hapa unajua nini chakufanya sasa.
 
Mkuu ni jambo rahisi sana kukutana na watu wa mtaani kwako kama asili ya kabila lenu ni watafutaji,mwaka fulani nilienda kusini huko mpakani na Mozambique nikakutana na jamaa mmoja tutokako ni majirani mpaka nilishangaa.

Ni jambo la kawaida sana hili wala sio la kushangaza,kama wewe ulivyoenda Uganda pia kuna wengine nao walienda hivyo ungefanya jitihada kuwatafuta ungewapata tu.

Nieleweshe vizuri hapo kwenye Red. na tofauti inakuwaje hapo kwenye blue? Manchester is Red, Manchester is Blue.
Kukutana na mtu sawa ila tena huyo mtu awe kwenye story sensitive, hapo hapo alianza na ugumu wa kuwapata maana walibadilisha majina kwasababu walisilimu. unaona story inavyokuwa tamu kuanzia mwanzo? ukiangalia TV series unakuja kujikuta unamaswali kichwani ndo kama haya sasa.
 
Ng'wanapagi
Unaakili sana kwa jinsi ulivyoiweka story yako mpaka hapa ilipofikia, Usikilize tu moyo wako na uendelee tu kuandika.
Mimi nitaacha ku comment kwenye hii story yako, ningeendelea ila naona unanielewa kwanini nitashindwa. Vilevile nisamehe sana kwa nilichoandika hakijaenda na ulivyotaka au kipo kinyume na matarajio yako, nilikuwa nataka tu kukukosoa pale nilipoona pana utata, Ila naamini kuwa huu ni mwanzo mzuri na napenda kukupongeza pia. Nakutakia Mafanikio mema.
Bye
 
Vijana weeeeeeeengi toka kijijini kwetu nikiwemo mimi tulienda Zanzibar kwa nyakati tofauti kusaka maisha wengine hadi leo wako huko. Waliokuwa wanarudi walitujulisha Ukifika Zanzibar nenda Uroa kwa mzee fulani utakuta wasukuma kibao wakifanya kazi za kulima na kusimamia mashamba na walikuwa na umoja wao wa kusaidiana endapo mmoja atapata matatizo. Nenda Dunga kaulize hii story na kama ni agent au imekugusa tafuta njia nyingine ya kupotosha
Nitafute Njia ya kupotosha, mimi sijaleta story. Hata Dar vijana wengi walienda kwa nyakati tofauti, kutoka vijiji tofauti. na mpaka sasa Dar kuna watu kutoka mikoa tofauti na wilaya tofauti na vijiji tofauti. inawezekana kabisa ukaenda mkoa mwingine na ukakutana na mtu mlietoka nae kijiji kimoja ila angalia story yako inavyoendana na masula sensitive ya kuvutia na imejipanga vizuri, kijana alilipua yupo ?????? hapo hapo mafunzo ya kigani mapya ni wewe tena umekutana nayo, its an interesting story watu wanaisubiri endelea.

Mimi sijaku critisize (spelling) ila upo vizuri sana kwenye kuandika story, Muvi nyingi unazoziona zimechukua miaka mingi sana kuzidevelope na zinaanza kama story kama hii yako ( ubalozi wa marekani ulilipuliwa miaka 1998 miaka 20 imepita )

My friend mm Nakusifia maana you are Good.
 
Back
Top Bottom